Elections 2010 Matokeo ya awali Mkoa wa Mbeya

Status
Not open for further replies.
Matokeo zaidi toka Kyela vijijini:

Isaki
JK 266
Slaa 32

Malungo
JK 206
Slaa 74

Mwaya (Kwa Mwakipesile)
JK 374
Slaa 17
 
Channel 10 wanaripot sehemu walizoongoza ccm tu tena kwa tofauti ndogo ya kura, hawana lolote wamekalia ushabiki tu

Achaneni na Channel 10, nimeshuhudia matokeo ya Shinyanga (Maswa kwa Shibuda) wakitangaza CCM anaongoza wakifuatia na CCM. Alipoulizwa akasema CHADEMA akifuatia na CCM. Inakatisha tamaa kuona watu wanahasi professional zao na kukalia ushabiki. Nashauri warudishwe shule.
 
Kyela Vijijini

Kata ya Ipande nimeshindwa kupata namba kamili na nimepewa tofauti ya kura

JK kamshinda Slaa kwa kura 300.
 
Haya matokeo ya Kyela hayatushangazi, ila Rungwe JK atashinda! Sie tunakubali sehemu nyingine tutapata shida ila mwisho wa siku..kidedea lazima Dr wa ukweli!.....hilo halina kujadiliana.
 
si unaona na Dr.(Phd) wamempa 120 na 119 kwenye hivyo vituo?ni kama vile wapiga kura walikuwa walewale....

Hii ikifuatiliwa kwa undani .... inaweza kuwa kweli. haiwezekani vituo viwili, ktk kata moja washindani wakuu wapate votes zinazolingana ktk vituo vyote viwili!!
Kituo kimoja hapo ni fake!!! wamepunguza kura moja tu ya Slaa zikabaki 119 badala ya 120
 
Jimbo la Mbeya Mjini, Kata ya Nzovwe, Kituo cha Hospitali ya Mkoa

URAIS
CCM - 50
CHADEMA - 128
TLP - 1

UBUNGE
CCM - 41
CHADEMA - 188

UDIWANI
CCM - 53
CHADEMA - 171
CUF - 4
 
Kyela mjini

Nkuyu
JK 120
Slaa 85

Mpanda
JK 75
Slaa 54


Inaelekea kwa Kyela mjini JK kafanya vizuri kuliko ilivyotegemewa. Lakini Slaa naye anafanya vizuri kuliko ilivyotegemewa kwenye baadhi ya kata za Vijijini.
 
Tukuyu ushirika,

Urais:
chadema - 700,
ccm 54,

Mbeya mjini kituo cha azimio,

Urais:
chadema - 101,
ccm - 43,

Kituo cha Mwenge,

Ubunge:
chadema - 130,
ccm - 33,

Kituo cha kilimo 1,

Urais:
chadema - 119,
ccm - 29,

Kituo 2,

Urais:
chadema - 109
ccm - 39.

Habari toka Vwawa, chadema inaongoza mji unazizima kwa shangwe!

Mbeya oyeee!
 
Habari ambazo sijathibitisha lakini ni kama ni za kweli ni kwamba Mwenyekiti wa UVCCM Dr. Hunter Mwakifuna amebwagwa na CHADEMA kwenye udiwani wa kata ya Ipinda.

Huyu ni rafiki yaki Ridhiwani na ndiye alienda kumpigia kampeni. Hongera CHADEMA kwa kupata udiwani kata ya kwanza Kyela.
 
Naskia Mbeeya mavuvuzela yametawala usiku huu. Ni kama mji umekombolewa toka mikononi mwa wakoloni.
 
Tukuyu ushirika,

Urais:
chadema - 700,
ccm 400,

Mbeya mjini kituo cha azimio,

Urais:
chadema - 101,
ccm - 43,

Kituo cha Mwenge,

Ubunge:
chadema - 130,
ccm - 33,

Kituo cha kilimo 1,

Urais:
chadema - 119,
ccm - 29,

Kituo 2,

Urais:
chadema - 109
ccm - 39.

Habari toka Vwawa, chadema inaongoza mji unazizima kwa shangwe!

Mbeya oyeee!

safi sana kwa watanzania muishio mbeya kwa muamko wenue wa kutaka maendeleo
 
Naskia Mbeeya mavuvuzela yametawala usiku huu. Ni kama mji umekombolewa toka mikononi mwa wakoloni.


Tehehehehehehehehehehe.....ni wakoloni. Enzi za kibanga amchapa mkoloni. Lazima wanasiasa wajue ajira anatoa mwananchi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom