Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Namshauri Sioyi amalizie arobaini ya mzee wake then akwende zake UK akafiche sura yake.
Dirty indeed. Nadhani ni muda mwafaka wa EL kufikiria kustaafu siasa. Ni ushauri wa ubwete tu, anaweza akauchukua ama akauachaPolitics is a dirty game...
EL aendelee kujenga nyumba za ibada aachane na siasa za bongo kabla ya kuumbuka kama zenkapa.
ni dhahiri sasa..,ufalme wa lowassa unaanguka na kufikia tamati kama ufalme wa roma au utawala wa gaddafi!
Tulianza na yeye mwenyewe kuanguka uwaziri mkuu mwaka 2008,kwa kashfa ya richmond
na pia kushindwa kwa batilda buriani kwenye uchaguzi wa arusha mjini.2010 (huyu ni mtu wa lowassa)
na pia kushindwa kwa james ole milya kwenye kura za maoni ccm.mwaka 2010 na vile vile kutoswa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea ubunge afrika mashariki mwaka huu. (huyu ni kibaraka wa lowassa)
na pia kushindwa kwa mkwe wake sioi sumari kwenye ubunge wa arumeru mashariki..,ni pigo kubwa vile vile kwa mheshimiwa lowassa...,
hii ni dhahiri ufalme wa lowassa unafikia mwisho ukizingatia anapata upinzani ndani ya chama chake na vile vile kutoka kwa chadema (nguvu ya umma)
namfananisha lowassa na hayati muamar gaddafi jinsi utawala wake ulivyoanguka ni kama sasa hvivi waasi wameuzunguka mji wa tripoli (chadema) na wamarekani wakimpiga mabomu (ccm-kundi la sitta)..,kazi ipo kwa yule mtoto wake wa kigoma (peter serukamba..mbunge kigoma mjini) na yeye mwenyewe anayepatwa na shinikizo la kujivua gamba..!
Sasa ni muda wa mh.lowassa kufanya maamuzi magumu..kukimbia ama kufa kiume kama gaddaffi
Ubunge tu,, huo kwao ataupata maana nasikia monduli huwaambii kitu kuhusu huyu mwanasiasa aliyefulia