Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

Mimi ni mwanakitengo na niko kwa kazi maalum tume hapa. Simpendi Lowassa lakini ukiondoa matokeo ya Dsm na Arusha kwa ujumla anaongoza kwa tofauti ya kura 3,437,215.

Wakuu wamechanganyikiwa. Hawajui cha kufanya. Wanajaribu kuchakachua.

Lowassa anaongoza ila Mkuu hataki.

Mmh, Mkuu usifanye propaganda tafadhari.. Tupe ushaidi wana mabadiliko tujue cha kufanya mtaani.
 
Mimi ni mwanakitengo na niko kwa kazi maalum tume hapa. Simpendi Lowassa lakini ukiondoa matokeo ya Dsm na Arusha kwa ujumla anaongoza kwa tofauti ya kura 3,437,215.

Wakuu wamechanganyikiwa. Hawajui cha kufanya. Wanajaribu kuchakachua.

Lowassa anaongoza ila Mkuu hataki.

Tuma bac hiyo clip mbona unachelewesha
 
MUNGU AMESHAWAFUNULIA WATUMISHI WAKE VIONGOZI WATAKAOTAWALA NCHI YETU KATIKA AWAMU YA TANO.
Tulia usome na uelewe.
Mungu uyafahamu majira na nyakati na viongozi wanaotawala katika nyakati hizo.
Imeandikwa "Hakika Bwana Mungu hatafanya neno lolote,bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake"(AMOSI 3:7).
Maombi yetu hayatufanyi tuweke kiongozi tunayetaka bali maombi yetu hutusaidia kumpata aliyekusudiwa na Mungu, soma MATENDO YA MITUME 1:23-25 ("wakaweka wawili,Yusufu aitwaye Barsaba,aliyekuwa na jina la pili Yusto,na Mathiya,kisha wakaomba wakasema,wewe Bwana,ujuaye mioyo ya watu wote,tuoneshe ni nani uliyemchagua katika hawa wawili......wak
awapigia kura;kura ikamwangukia Mathiya naye akahesabiwa kuwa pamoja na Mitume kumi na mmoja")
Kura ni mfumo ambao Mungu amewapa wanadamu kumpata kiongozi ila tunapaswa kufahamu kuwa hukumu(maamuzi) ya nani awe kiongozi huwa katika uwezo wa Mungu.
Soma MITHALI 16:33( "kura hutupwa katika mikunjo ya nguo;Lakini maamuzi (hukumu) zake zote ni za Bwana")
Hii inamaanisha kuwa kura Mungu ameamuru ziwepo kama njia ya kufikia mpango wa Mungu lakini tayari Mungu huwa tayari anamfahamu kiongozi ni yupi.
Tangu mwanzo Mungu aliwatumia watumishi wake kuyasema mapema yatakayotokea katika uongozi na viongozi watakaotawala hata kabla haijatokea(Daniel 11:1-4)
Hii si mara ya kwanza mimi kuandika haya bali niliwahi kuandika haya mwezi wa saba na mwezi wa nane mwakaa huu,katika unabii nilioandika awali japo ulikuwa katika mafumbo makubwa ila ulielezea nani atakuwa Kiongozi mkuu wa nchi hii.
Ikiwa imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mkuu ninayaandika haya kwa aina nyingine ili uelewe na yatakapotimia ujue yupo Mungu wa Israel ajuaye majira na nyakati.
KWA MARA NYINGINE NALIONESHWA MAONO HAYA.
Naliona pepo(wind) zikizuka katika nchi na kuelekea nchi nzima,lakini pepo mbili ndizo zilikuwa na nguvu sana kuliko nyingine sita (6). Mmoja ulitokea Ziwa Victoria na mwingine ulitokea mlima Meru.
Pepo hizi zilipata nguvu zaidi kila zilipovuma kila kona,Naliona miti mingi bara na visiwani ambayo ilifurahi kwasababu ya pepo hizo,jinsi zilivyovuma zilionekana kushindana pale zilipokaribia miti ili kupata upepo utakaovuma katika miti.
Kisha nikaona upepo uliotokea kanda ya ziwa ukipata alama nyingi za kukubalika siku ya kwanza ya uchambuzi wa alama kiasi kwamba ilisikika kila kona upepo huu utatawala miti ile,ghafla siku ya pili ya uchambuzi wa alama za kukubalika upepo unaotokea mlima Meru ukapata alama zaidi na kuishangaza miti mingi,japo nguvu yake kubwa iliongezeka kutoka kwa miti mingi ya visiwani,Miti hii ya visiwani iliokoa na kuongeza zaidi alama za upepo uvumao kutoka Mlima Meru.
Kisha nikaona malaika ukiandika alama katika ubao na hesabu yake ilikuwa mikono kumi na mmoja na nyongeza ya nukta kadhaa.
Naliona utata ukitokea katika kuwekwa wazi kwa alama hizo lakini baada ya msuguano Mungu aliingilia kati, kisha nikaona miti ikishangilia sana kwasababu ya upepo utokao mlima Meru.
Haikuwa rahisi alama hizi, mikono kumi na mmoja na nyongeza ya nukta kadhaa kuwekwa wazi lakini Mungu aliingilia kati na nikaina ubaoni andiko hili (MITHALI 16:31).
Mwisho wa maono.
Mungu ibariki Tanzania:
Naiombea Tanzania amani itawale na haki itawale kwa jina la Yesu.Amen
 
Mimi ni mwanakitengo na niko kwa kazi maalum tume hapa. Simpendi Lowassa lakini ukiondoa matokeo ya Dsm na Arusha kwa ujumla anaongoza kwa tofauti ya kura 3,437,215.

Wakuu wamechanganyikiwa. Hawajui cha kufanya. Wanajaribu kuchakachua.

Lowassa anaongoza ila Mkuu hataki.

Toa upuzi wako eti mwanakitengo---mwanakitengo kutoka wapi? Hizo video unazotaka kuzirusha Youtube turushie na sisi humu JF tuzione! Ole wako usifanye hivyo!
 
MUNGU AMESHAWAFUNULIA WATUMISHI WAKE VIONGOZI WATAKAOTAWALA NCHI YETU KATIKA AWAMU YA TANO.
Tulia usome na uelewe.
Mungu uyafahamu majira na nyakati na viongozi wanaotawala katika nyakati hizo.
Imeandikwa "Hakika Bwana Mungu hatafanya neno lolote,bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake"(AMOSI 3:7).
Maombi yetu hayatufanyi tuweke kiongozi tunayetaka bali maombi yetu hutusaidia kumpata aliyekusudiwa na Mungu, soma MATENDO YA MITUME 1:23-25 ("wakaweka wawili,Yusufu aitwaye Barsaba,aliyekuwa na jina la pili Yusto,na Mathiya,kisha wakaomba wakasema,wewe Bwana,ujuaye mioyo ya watu wote,tuoneshe ni nani uliyemchagua katika hawa wawili......wak
awapigia kura;kura ikamwangukia Mathiya naye akahesabiwa kuwa pamoja na Mitume kumi na mmoja")
Kura ni mfumo ambao Mungu amewapa wanadamu kumpata kiongozi ila tunapaswa kufahamu kuwa hukumu(maamuzi) ya nani awe kiongozi huwa katika uwezo wa Mungu.
Soma MITHALI 16:33( "kura hutupwa katika mikunjo ya nguo;Lakini maamuzi (hukumu) zake zote ni za Bwana")
Hii inamaanisha kuwa kura Mungu ameamuru ziwepo kama njia ya kufikia mpango wa Mungu lakini tayari Mungu huwa tayari anamfahamu kiongozi ni yupi.
Tangu mwanzo Mungu aliwatumia watumishi wake kuyasema mapema yatakayotokea katika uongozi na viongozi watakaotawala hata kabla haijatokea(Daniel 11:1-4)
Hii si mara ya kwanza mimi kuandika haya bali niliwahi kuandika haya mwezi wa saba na mwezi wa nane mwakaa huu,katika unabii nilioandika awali japo ulikuwa katika mafumbo makubwa ila ulielezea nani atakuwa Kiongozi mkuu wa nchi hii.
Ikiwa imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mkuu ninayaandika haya kwa aina nyingine ili uelewe na yatakapotimia ujue yupo Mungu wa Israel ajuaye majira na nyakati.
KWA MARA NYINGINE NALIONESHWA MAONO HAYA.
Naliona pepo(wind) zikizuka katika nchi na kuelekea nchi nzima,lakini pepo mbili ndizo zilikuwa na nguvu sana kuliko nyingine sita (6). Mmoja ulitokea Ziwa Victoria na mwingine ulitokea mlima Meru.
Pepo hizi zilipata nguvu zaidi kila zilipovuma kila kona,Naliona miti mingi bara na visiwani ambayo ilifurahi kwasababu ya pepo hizo,jinsi zilivyovuma zilionekana kushindana pale zilipokaribia miti ili kupata upepo utakaovuma katika miti.
Kisha nikaona upepo uliotokea kanda ya ziwa ukipata alama nyingi za kukubalika siku ya kwanza ya uchambuzi wa alama kiasi kwamba ilisikika kila kona upepo huu utatawala miti ile,ghafla siku ya pili ya uchambuzi wa alama za kukubalika upepo unaotokea mlima Meru ukapata alama zaidi na kuishangaza miti mingi,japo nguvu yake kubwa iliongezeka kutoka kwa miti mingi ya visiwani,Miti hii ya visiwani iliokoa na kuongeza zaidi alama za upepo uvumao kutoka Mlima Meru.
Kisha nikaona malaika ukiandika alama katika ubao na hesabu yake ilikuwa mikono kumi na mmoja na nyongeza ya nukta kadhaa.
Naliona utata ukitokea katika kuwekwa wazi kwa alama hizo lakini baada ya msuguano Mungu aliingilia kati, kisha nikaona miti ikishangilia sana kwasababu ya upepo utokao mlima Meru.
Haikuwa rahisi alama hizi, mikono kumi na mmoja na nyongeza ya nukta kadhaa kuwekwa wazi lakini Mungu aliingilia kati na nikaina ubaoni andiko hili (MITHALI 16:31).
Mwisho wa maono.
Mungu ibariki Tanzania:
Naiombea Tanzania amani itawale na haki itawale kwa jina la Yesu.Amen

Mambo ya kilokole na matokeo yanahusiana vipi tena hapa!!?
 
MATOKEO ZAIDI //www.electionresults.org/tips

Morogoro.......
Lowasa 817,029
Magufuli151,774

Rukwa ..........
Lowasa 535,845
Magufuli 121,233

Mbeya...........
Lowasa 554,701
Magufuli 426,002

Ruvuma...........
Lowasa 495,669
Magufuli 226,282

Tabora.............
Lowassa 687,983
Magufuli 352,735

Katavi............
Lowasa 329,635
Magufuli 56,322

Matokeo yanaendelea kupokelewa.........
 
Nec bana wanataka kuwavunja moyo wapinzani kwa kuanza kutangaza majimbo ya ccm.
 
Kwa hiyo hao NEC hadi muda huu wana matokeo ya Unguja na Mtwara tu peke yake au JF ndiyo mnaochelewa kuposti? Kwanza inakuwaje wapate matokeo ya Unguja na Mtwara mapema kuliko majimbo waliyo nayo hapo hapo Dar?!!
 
MATOKEO ZAIDI //www.electionresults.org/tips

Morogoro.......
Lowasa 817,029
Magufuli151,774

Rukwa ..........
Lowasa 535,845
Magufuli 121,233

Mbeya...........
Lowasa 554,701
Magufuli 426,002

Ruvuma...........
Lowasa 495,669
Magufuli 226,282

Tabora.............
Lowassa 687,983
Magufuli 352,735

Katavi............
Lowasa 329,635
Magufuli 56,322

Matokeo yanaendelea kupokelewa.........

Source gani ndugu?
 
Vyama vya upinzani kama Watoto wa Kambo kila kitu wanaonewa ......Tulieni tusikilize Matokeo ama nene ....amam vepeeee
 
Back
Top Bottom