johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,116
Baada ya Kukatwa Lowassa akajiendea zake CHADEMA.
Baada ya Uchaguzi Rostam akamrejesha CCM na kumkabidhi kwa Shujaa Magufuli na Komredi Polepole.
Shujaa Magufuli Ndiye aliyefungua kiwanda cha Taifa Gas cha Aziz kule Kigamboni ambayo sasa Wabunge wa CCM, Chadema na ACT wazalendo wanasambaza Mitungi nchi nzima.
Ikadaiwa pia Aziz ambaye ni rafiki mkubwa wa Edward anatamani kujenga Bandari Kavu Mlandizi.
Kabla ya Kufa Kwake Shujaa Magufuli akamuomba Rostam Aziz agombee ubunge Jimbo la Morogoro Mjini.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Baada ya Uchaguzi Rostam akamrejesha CCM na kumkabidhi kwa Shujaa Magufuli na Komredi Polepole.
Shujaa Magufuli Ndiye aliyefungua kiwanda cha Taifa Gas cha Aziz kule Kigamboni ambayo sasa Wabunge wa CCM, Chadema na ACT wazalendo wanasambaza Mitungi nchi nzima.
Ikadaiwa pia Aziz ambaye ni rafiki mkubwa wa Edward anatamani kujenga Bandari Kavu Mlandizi.
Kabla ya Kufa Kwake Shujaa Magufuli akamuomba Rostam Aziz agombee ubunge Jimbo la Morogoro Mjini.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!