Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

Tume wanaplay psychological game, wanaanza kutangaza majimbo ambayo ni ngome, haiingii akilini unapata matokea ya unguja na Mtwara unashindwa kupata ya Dar es Salaam where you are centered. Tunaandaliwa kukubali matokeo.
 
Tume wanaplay psychological game, wanaanza kutangaza majimbo ambayo ni ngome, haiingii akilini unapata matokea ya unguja na Mtwara unashindwa kupata ya Dar es Salaam where you are centered. Tunaandaliwa kukubali matokeo.
Mchezo wao utafeli kama kweli wanafanya hivyo.
 
Tume wanaplay psychological game, wanaanza kutangaza majimbo ambayo ni ngome, haiingii akilini unapata matokea ya unguja na Mtwara unashindwa kupata ya Dar es Salaam where you are centered. Tunaandaliwa kukubali matokeo.

Sure broh.... Ur right.....
 
Hapo tume walipo wanasubiri maelekezo na matokeo toka Lumumba ndio watangaze. Wananchi tunawacheki maana nasikia ccm wanakikao asubuhi wajue nini wafanye.
 
Tume imeanza kutangaza matokeo halisi ya urais kutoka kwenye majimbo kadri wanavyoyapokea, ambapo hadi sasa tayari matokeo ya majimbo matatu yameshatangazwa yakionyesha John Pombe Magufuli anaongoza.

Kwa upinzani makini ni wakati mwafaka muwe mnatoa tathimin ya matokeo hayo. Tathmini yenu ijikite kuhakiki matokeo ya tume na yenu mliyokuwa mnakusanya.

Kuna faida mkuu mbili,

Mosi; kuifanya tume iwe makini na kuto-temper na matokeo kwa vile watajua kuwa endapo watatangaza kinyume mtawaumbua.

Pili: kuwaaminisha wafuasi wenu kuwa kura walizowapeni ziko kwenye mikono salama.

Good lucky.

Luteni,

Ushauri mzuri.

Tunaomba CHADEMA, UKAWA na LOWASSA Team yote wafuatilie na wafanye compare&Contrast ili kujiridhisha.
Tunajua Mkurugenzi wa Uchaguzi wa UKAWA atafuatilia kwa karibu.
 
Hayo ni majimbo ya CCM strongholds...!!! Sasa, lazima ujue vizuri ngome za vyama husika..!! Pia ni majimbo ambayo pia hayana KURA NYINGI...!!!

👆👆👆👆👆👆
 
Huko mnakoelekea sasa SIKO, kweli tangu jana.ni majimbo MATATU tuuu, noooo ma wasi wasii, kwa nn maitre matokeo kwa muda mnapindishapindisha ulionao hivi ni dalili mbaya na mnawapa hasira wananchi, amani ya Tanzania Iko mikononi mwenu msituharibie amani tumefanya uchaguzi wetu kwa amani na.tunaomba matokeo kwa amani kama tulivyozipiga msitupindishie habari.watanzania TUNATAKA amani yetu bado tunaihitaji saaana, tunaomba msiwe chanzo cha vurugu ya Tanzania, pepo ibilisi lililoingia NDANI ya nec tumalikemea kwan linataka KUTULETEA shidaaa watanzania

kuna matokeo umewatumia wakaacha yatangaza. ama wataka watangaze kufurahisha watu tu ilihali hawajapokea matokeo hayo.

acha kutoa lawama kwa vitu ambavyo havipo
 
Yafanane na yale yanayojumlishwa na Ukawa.

Yakitofautiana watueleze imekuwaje hayafanani?


ukawa ndio kitu gani?

haya ni matokeo ya rais sio ya mwenyekiti wa chama, NEC pekee ndio wenye mamlaka ya kuyatangaza.
 
ucgaguzi wa mwaka huu unahusu namba hivyo tusubiri tuone. kuna majimbo yana wapiga kura wengi na mengine wachache.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom