EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Endelea kujifariji.Hakuna vijiji huko manake CCM huwa wanaibukia vijijini! Yanaanza ya mjini yakija ya vijijini unakuta inaongoza?
Endelea kujifariji.Hakuna vijiji huko manake CCM huwa wanaibukia vijijini! Yanaanza ya mjini yakija ya vijijini unakuta inaongoza?
wewe unataka majibu gani bana? majibu si ndiyo hayo, we kunguru nini?
Lakini! Mnaoneje mtusaidie matokeo ya kata za mbali kwanza.tuachane na kikatiti na usa river ambazo wengi tuna uhakika.nayo
Wewe hujui hesabu nini ? angalia ratio ya Leganga 146:20 hapo ndio utajua kuwa ratio ya 507:150 cha mtoto ! hata hivyo zote furaha ndugu yangu katika mapamabanoeeeh kwenye nyekundu nimekubali hapo kunawatu wenye akili timamu!
hv jamani nchi hii bado kunawatu wengi bado wanaipigia ccm.
Mimi nataka ifike wakati cdm 150 ccm 2
kwanza mgombea mwenyewe hajipigii anataka apate toka wapi!?
Si uyaweke kama yapo.Matokeo yaliyo positive kwa CCM hamuyaweki hapa!!
hadi sasa matokeo mliyo tangaza hapa jf ni
chadema 2251 ili hali ccm 978 je ni kweli ???
Jamaa kakataliwa hata alikozaliwa Akheri: 497' kwa 194
"Mbuguni CCM 72, CDM 132 wapiga 203, hakuna kura iliyoharibika."
Hebu jumlisha vizuri hapo jumla ni 204!
Tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungus/m usa river cdm 111,ccm 37
embaseni A cdm 104,ccm 52
leganga sm cdm 146,ccm 20
tengeru chuoni cdm114,ccm 24
tengeru hospt cdm 220,ccm 40
kikuleto ofisini cdm 104,ccm 84
sm leganga cdm 142,ccm 22
magadilisho sm A cdm 116,ccm 37
B cdm 111,ccm 34
majiachai A,B,C,D,E cdm 573,ccm 276
ngwandua(chama,ushirika na mwivaro) cdm 507,ccm 150
usa river sokon 1 na 2 cdm 191,ccm 70