MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
Subirini sarakasi za vijijini, wengi hatutaamini lakini ndiyo upenyo wao uliobaki!!
 
Cdm hureeeeeeeeeeeeeeeee people......z!!!!!!!!!!
 
hii inanikumbusha zambia'mambo yalianza taratibu hivyo huku nchi nzima ikipiga mayowe na maombi mpaka wakashinda
 
Vijijini jamani vp? Huko ccm mafundi sana wa kuchakachua.
 
aloow!!! tuwe makini sana wakati huu ni hatari sana ukizingatia vijijini bado, isija yakatukuta ya IGUNGA!!!

pamoja sana wakuu!! God less CDM , God bless Tanzania
 
daah inaonyesha mpambano ni mkali
 
kuba bake, leo lazima nitembeeee uchi, chama cha msimu kimetisha..........TBC wanapotezea
 
Kudadeki Chadema inashinda kwa kishindo, hii itakuwa fundisho kwa Mkapa, Lusinde na mwingulu to mention a few. Oyeee leo nakesha online
 
hadi sasa matokeo mliyo tangaza hapa jf ni
chadema 2251 ili hali ccm 978 je ni kweli ???
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom