MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
Pomoja sana,makamanda msichoke jamani.Huu usiku wanaweza fanya mambo hawa jamaaa!


hawana ujanja maana ni wao waliotuma salamu za pongezi kwa nasari kupitia kwa mh mbowe...salamu hizo amezituma nape...na hawapo arumeru...
 
[h=6]Moja ya Usiku Mzuri sana kwenye Historia ya chama chetu. Tumeshinda Madiwani mikoa yote nyeti na zaidi tumeshinda Ubunge Arumeru. Hakuna raha kwenye siasa kama kuongeza Mbunge katikati ya kipindi cha Bunge. Twamshukuru mola. Hongera viongozi wenzangu na wanachama wetu na watanzania kwa ujumla kwa kutupa nguvu. Its a 'snow ball effect' ! Watch our steps SOURCE f/b Mh ZITT0[/h]
 
Kwa matoke yote nayosikia kupitia sunrise radio Cdm inaongoza kila kituo kwa kura zaidi ya 100, ccm inafuatia kwa mbali. Cdm hureee.

kwenye nyekundu, ni ukweli usiopingika! Mimi ninatazama EATV kwenye maandishi yanayopita chini ya TV yangu ninapata burudani mara mbili. Yaani matokeo kila yanapopita CHADEMA inaoongoza na CCM wanajikongoja lakini pia napata burudani ya muziki............. Peeeeooooppppllllleeeeee'ssssssss!!!!!!!!
 
kaka ni kwa sababu ya umbali tu. Kule kuna maeneo mengine hata barabara ni za kutafuta kama vile kisimiri juu na kisimiri chini. Lakini matokeo yanaendelea kukusanywa kata hiyo na tunafanya vyema. Fomu zake zinasubiriwa kwa hamu. Hatuna wasiwasi eneo hilo lilikuwa chini ya udhibiti wa kamanda mahiri sana, rose kamili.

kaka aksante sana, nasi uku tunafuatilia kwa makini, wa kigamboni ela ya rushwa imetuumiza washe::::nz wametusaliti leo kwa viela tu, ila endelea kutujuza taratibu, tunaamini hili taifa linaitaji kukombolewa na mkombozi wa kweli ni mmoja tu nae ni chadema.
 
wasira anaelekea moshi kwa sasa.....nape nnauye ameshaonda arusha .mwiulu nchemba yuko arusha mjini akiwa ameshika skafu yake mkononi yuko pamoja na sioi

"If You Don't Know Where You're Going, Any Road Will Get You There."


"You can't get lost if you don't know where you're going
"


--ndicho kinachowapa na kuwatokea viongozi wa sisiemu kwa sasa-kesho watashangaa sana hapo watakapokuwa maana watashindwa kujua wamefikaje hapo
 
Tupeni update wapendwa lkn kuweni makini sana rushwa dola nk

[h=6]Moja ya Usiku Mzuri sana kwenye Historia ya chama chetu. Tumeshinda Madiwani mikoa yote nyeti na zaidi tumeshinda Ubunge Arumeru. Hakuna raha kwenye siasa kama kuongeza Mbunge katikati ya kipindi cha Bunge. Twamshukuru mola. Hongera viongozi wenzangu na wanachama wetu na watanzania kwa ujumla kwa kutupa nguvu. Its a 'snow ball effect' ! Watch our steps f/b mh zitto[/h]
 
Nilisema magamba lazima mjibebe fungasheni virago vyenu arumeru mash.Kwan hamna chenu huko.Na piaaa kiwira na kirumba na kusini tumeshawa vua chu..P zenu mko waz nyuma.Wera wera pipoz pawa,hakuna kurara mra mpaka kieleweke maana vita n vita mra.
Please Jelo hamna haja ya matusi. Sisi tumeanza na Mungu tutamaliza na Mungu. Na Mungu hapendi matusi.
 
Hilo ndilo la msingi na ni lazima kupambana na njama za uchakachuaji usiku huu. Ni lazima nanyi muanze kutangaza matokeo ya vituo vingine ili Watanzania wote wayajue kabla ya mafisadi hawa kuyachakachua kwani yakitoka ni vigumu kwa njama zao hizo kufanikiwa.
 
Tangazo rasmi saa ngapi !! Ili hao jamaa watupishe hapo njianii?
 
April 1, 2012, Siku ya werevu Arumeru Mashariki. Tunaendelea kushangilia huku tukingojea matokeo yote tuconfirm na kisha tuserebuke kichizi!
 
andika kitu acha mafumbo yako, watu tunakata kiu ya ushindi na wewe ualeta za kuleta, yuko wapi lusinde na mwigulu?
 
yaan mpaka na vibrate..riiiiii....riiiiii....then chadema!,chadema!,chadema!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom