Poleni sana ndicho mlichobakiza mtasema kingine?matokeo yoote yaliyotolewa ni ya barabararani kwahiyo haisumbui kabisa . ngoja tusubirie huko vijijini sasa .
Giza wanaJF tunashindwa kusoma vizuri matokeo
kwa mjibu wa tumain makene chadema wanaongoza kwa kura zaidi ya 2,425
hivi huko vyama ni ccm na cdm tu?
Ngoma bado mbichi, kama Busanda na Bi'mulo Chadema mijini, CCM vijijini!.pasco wp leo baba mkwe EL anasemaje?
hii tamu sana, ila kuna kituo eti ccm wamepata zaidi ya 1400 wakati cdm hata 2 hawajafika, hapa panahitaji uchunguzi, tutaibiwa hadi lini?
Kwa mjibu wa Tumain Makene CHADEMA
wanaongoza kwa kura zaidi ya 2,425
kati ya ngapi mkuu tunataka tujue vituo vipo vingi kweli zaidi ya miatatu na hv vya makene hata 50 havijafika, kweli kazi ipo!
Sijahofu ,CDM itashinda tu
kati ya ngapi mkuu tunataka tujue vituo vipo vingi kweli zaidi ya miatatu na hv vya makene hata 50 havijafika, kweli kazi ipo!