Sehemu hiyo lazima tufanye uchunguzi hapo hata kama tukishinda cdm hili liwe fundisho.
hapa lazima tumeibiwa, itv wamethibitisha kuwa kuna kurra zilitaka kuibiwa sasa zikakamatwa, hatujui ni eki ngapi zilifanikiwa kupita
Sehemu hiyo lazima tufanye uchunguzi hapo hata kama tukishinda cdm hili liwe fundisho.
novatus makunga akiripoti anaonyesha huko Leguruki cdm wanabamizwa mbaya !mpaka sasa nitashangaa sana nikisikia Yanga imeshinda huko Arumeru maana asilimia 90 ya vituo vyote vilivyotangazwa mpaka sasa wekundu wa msimbazi wanaongoza
Mpaka sasa...
Kituo cha Shule ya Msingi Misufini, Kata ya Mbuguni
misufini "A1"CHADEMA 209, CCM 52
misufini "A2" CHADEMA 195, CCM 40
misufini "A3" CHADEMA 208, CCM 45
Makiba Majengo 02, CCM 87, CHADEMA 93,
Ofisi ya Kata Majengo (Makiba) 04, CHADEMA 75, CCM 88, DP 2 jumla 166, iliyoharibika 1.
Kituo cha Shule ya Msingi Ambureni O2, DP 1, AFP 1, CCM 47, CHADEMA 194,
Usa River Shule ya Msingi CHADEMA 111, CCM 37
Enguseni a CHADEMA 114 CCM 62
Leganga CHADEMA 142 CCM 26
Magadirisho1 - CHADEMA 116 CCM 37
Magadirisho2 - CHADEMA 111 ccm 37
s/m leganga - CHADEMA 142 CCM 26
Majiachai A,B,C,D,E CHADEMA 573, CCM 276
Kituo kingine Makiba, CHADEMA 23, CCM 95,
Ofisi ya Kata Makiba CCM 107, CHADEMA 127,
Shule ya Msingi Miembeni namba 01, CCM 103, CHADEMA 96
Kikatiti CHADEMA 104 CCM 62
Tengeru chuoni CHADEMA 114, CCM 24
Tengeru hospt CHADEMA 220, CCM 40
Kikuleto ofisini CHADEMA 104, CCM 84
Makumira A = CHADEMA 118, CCM 42
Makumira B - CHADEMA 100, CCM 42
Makumira C - CHADEMA 92, CCM 50
Makumira D - CHADEMA 68, CCM 40
ngaresero 116 51
kisambale "1" 110 63
kisambale "2" 113 56
s/m mazoezi(patandi) "1" 120 49
'' '' "2" 128 50
" " "3" 127 50
" " "4" 124 45
hayo ni matokeo ya vituo vingapi?
Lenguruki
ccm 100 cdm 56
ccm 88 cdm 55
ccm 76 cdm 44
ccm 128 cdm 82
ccm 105 cdm 58
ccm 101 cdm 57
ccm 94 cdm 30
ccm 188 cdm 66
wanapo hesabu kwa jumla wasije wakatuchakachua mana magamba bwana ni ezi sanaWanabodi kwa kadri matokeo ya awali ya Arumeru yanavyozidi kutoka, vituo vyote vilivyotangaza matokeo ya awali hakuna hata kituo kimoja ambacho CCM inaongoza!.
Inawezekana CCM imekula kipigo cha mbwa mwizi!.
Mimi nilijiaminisha uchaguzi ulisha kwisha kitambo leo ilikuwa ni uthibitisho tuu!.
Wanabodi kwa kadri matokeo ya awali ya Arumeru yanavyozidi kutoka, vituo vyote vilivyotangaza matokeo ya awali hakuna hata kituo kimoja ambacho CCM inaongoza!.
Inawezekana CCM imekula kipigo cha mbwa mwizi!.
Mimi nilijiaminisha uchaguzi ulisha kwisha kitambo leo ilikuwa ni uthibitisho tuu!.
Ngoma bado mbichi, kama Busanda na Bi'mulo Chadema mijini, CCM vijijini!.