Matokeo halisi yavuja


NChi za Africa zinaongozwa na watu wajinga mnoo. Fikiria kuna mtu mmoja yeye alishinda kwa kupata kura 31M kati ya 32M, ambayo ni sawa na asilimia 98. Lakini mtu huyo anaogopa kutoka hadharani. Kajificha kizimkazi.
 
Watu milioni kumi wakikukataa hao sio magaidi hapo wewe ndio una shida na pia huwezi kuuwa watu milioni kumi nawewe ukabaki hai na Kwa amani. Utauwawa tu. Imagine Samia anaenda the Hague mwezi wa Tisa Kwa kuuwa watu elfu kumi sembuse milioni kumi TAFAKARI.
 
porojo hii inafanana na zile za karne ya16, dah

mtu hata ndevu hanyoi ndio amshinde m7? itakua ni maajabu
Sometime jichetue kidogo usimame na haqi ya Akhee,usiwe kauzu kwa kila jambo. Hata mwanae Mu7 akiandika kwa kuficha jina lake atasema dingi kachemka.
 
Uganda ni salama zaidi ikiwa na M7. Tanzania ni salama mara 100 chini ya Uganda ya M7 na ili atokea hapo Tz iridhie anaeingia as its to Burundi.

Hutaki acha.

Mwenye akili atanielewa.

Pazeni sauti kudai Matokeo yenu.
Nawe unajihesabu kuwa na akili?

Kwa hiyo kati yenu, wewe na Samia ni yupi anamzidi mwingine!
 
Huyu hamalizi hii 5yrs

Tusome Alama za nyakati binadamu
 
Final ya AFCON jana imetoa message loud&clear
1.Bila hakhi hakuna amani
2.Hakhi inadaiwa hata ikibidi kwa nguvu
3.Kila jambo lina ukomo- baada ya kubebwa kwenye mechi nyingi jana Morocco wamekwaa kisiki na kupata aibu ya milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…