Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,650
Habari zenyu jf binafsi mimi nashangaa sana mitandao ya kijamii kutoa matokeo ya uchaguzi igunga hali kadhalika tume ya uchaguzi haijatangaza hata hivyo matokeo yanaweza kuchelewa kutangazwa kutokana na ushindani mkali dhidi ya cdm na ccm kwa hiyo ndugu zangu kataeni kupewa matokeo ambayo hayana uhakika!