Matofali yanayofyatuliwa huku mitaani yana ubora mdogo sana

Matofali yanayofyatuliwa huku mitaani yana ubora mdogo sana

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Katika mambo ambayo yanashangaza sana ni uwepo wa matofali yenye ubora mdogo sana huku mtaani ni aibu kubwa sana kwa nchi mamlaka ziko wapi

Mimi nilisoma umbwe miaka flani hivi ile shule imeanza mwaka 1948 ila huwezi amini wakati nasoma ule ukuta wake huwezi gongelea msumari kirahis ilikuwa kwa mbinde sana sijajua sahivi

Mfano leo hii ukiona nyumba inauzwa chanika au chamazi million 15 au 20 fahamu kabisa matofali yaliyotumika kutengenezea hiyo nyumba ni yale yakiguswa tu kidogo na pembe ya kitanda yanaanza kumomonyoka

Na hawa wanaotengeneza wanayatengeneza bila kificho chochote huko mitaani sio sawa kama nchi lazima tuwe na standard bahati mbaya sana hakuna anayejali

Nikiwa rais wa Tanzania

Matofali yanayotengenezwa yatakuwa na standard kubwa na
atakayebainika ametengeneza matofali yenye kiwango kidogo basi atachukuliwa hatua za nidhamu

Na pia kutakuwa na maeneo maalumu ya kutengeneza matofali sio watu wanajichagulia eneo na kuanza kufyatua matofali lazima kutakuwa na utaratibu

 
Katika mambo ambayo yanashangaza sana ni uwepo wa matofali yenye ubora mdogo sana huku mtaani ni aibu kubwa sana kwa nchi mamlaka ziko wapi

Mfano leo hii ukiona nyumba inauzwa chanika au chamazi million 15 au 20 fahamu kabisa matofali yaliyotumika kutengenezea hiyo nyumba ni yale yakiguswa tu kidogo na pembe ya kitanda yanaanza kumomonyoka

Na hawa wanaotengeneza wanayatengeneza bila kificho chochote huko mitaani sio sawa kama nchi lazima tuwe na standard bahati mbaya sana hakuna anayejali

Nikiwa rais wa Tanzania

Matofali yanayotengenezwa yatakuwa na standard kubwa na
atakayebainika ametengeneza matofali yenye kiwango kidogo basi atachukuliwa hatua za nidhamu

Na pia kutakuwa na maeneo maalumu ya kutengeneza matofali sio watu wanajichagulia eneo na kuanza kufyatua matofali lazima kutakuwa na utaratibu
Dogo umeshamchukua Junior mtoto wa shemeji yako mume wa dada yako shuleni EM. Sasa nenda uwani ukamwagilie kale kabustani niliyokushauri uanzishe ikukeep busy.

C'mon get that weirdass moving!
 
Katika mambo ambayo yanashangaza sana ni uwepo wa matofali yenye ubora mdogo sana huku mtaani ni aibu kubwa sana kwa nchi mamlaka ziko wapi

Mfano leo hii ukiona nyumba inauzwa chanika au chamazi million 15 au 20 fahamu kabisa matofali yaliyotumika kutengenezea hiyo nyumba ni yale yakiguswa tu kidogo na pembe ya kitanda yanaanza kumomonyoka

Na hawa wanaotengeneza wanayatengeneza bila kificho chochote huko mitaani sio sawa kama nchi lazima tuwe na standard bahati mbaya sana hakuna anayejali

Nikiwa rais wa Tanzania

Matofali yanayotengenezwa yatakuwa na standard kubwa na
atakayebainika ametengeneza matofali yenye kiwango kidogo basi atachukuliwa hatua za nidhamu

Na pia kutakuwa na maeneo maalumu ya kutengeneza matofali sio watu wanajichagulia eneo na kuanza kufyatua matofali lazima kutakuwa na utaratibu
Mh rais ebu litazame pia eneo la lishe, wananchi wengi wanaishi kwa kula makapi badala ya kula vyakula vyenye virutubisho.
 
Katika mambo ambayo yanashangaza sana ni uwepo wa matofali yenye ubora mdogo sana huku mtaani ni aibu kubwa sana kwa nchi mamlaka ziko wapi

Mfano leo hii ukiona nyumba inauzwa chanika au chamazi million 15 au 20 fahamu kabisa matofali yaliyotumika kutengenezea hiyo nyumba ni yale yakiguswa tu kidogo na pembe ya kitanda yanaanza kumomonyoka

Na hawa wanaotengeneza wanayatengeneza bila kificho chochote huko mitaani sio sawa kama nchi lazima tuwe na standard bahati mbaya sana hakuna anayejali

Nikiwa rais wa Tanzania

Matofali yanayotengenezwa yatakuwa na standard kubwa na
atakayebainika ametengeneza matofali yenye kiwango kidogo basi atachukuliwa hatua za nidhamu

Na pia kutakuwa na maeneo maalumu ya kutengeneza matofali sio watu wanajichagulia eneo na kuanza kufyatua matofali lazima kutakuwa na utaratibu
Kama hayana ubora huja lazimishwa kununua mzee,nunua cement +mchanga=fyatua kwa ratio unayotka,kuna mwamba mmoja nilimpigia saluti yeye kwenye mfuko alikua anatoa tofari 15 tu
 
Back
Top Bottom