Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
Kauli hizi haziwezi kuharibu nchi sema sisi Watanzania tumechoka kuvumiliana maana kauli kama hizi zilikuwepo tokea enzi za Mwalimu lakini waTanzania walikuwa wavumilivu. Sasa kwa kuwa umaskini umekithiri na ubabaishaji ni mwingi sana ndo maana hata leo mtu akitukanwa tusi dogo tu inakuwa big news kwa kuwa waTanzania tumekuwa watu wa vijiweni na watu wa kunywa gahawa kama waswahili
Ndiyo maana nikasema tunapita kipindi kigumu hivyo tunahitaji kuwa waangalifu sana na tukisemacho kwa sababu kama usemavyo uvumilivu wetu umekuwa ziro!!!