Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,441
- 166,901
mbona hamna jeneza na msalaba au ndio wale wazikao kama mzoga na wanataka wakati wakuchi n j_ wafanye ibada!!
pole kama nimekukwaza,nisamehe bure!Unapata nini wewe kilaza kwa kubeza imani za wenzako? hakika kauli hizi ndizo zituharibiazo nchi!!!
mbona hamna jeneza na msalaba au ndio wale wazikao kama mzoga na wanataka wakati wakuchi n j_ wafanye ibada!!
Unapata nini wewe kilaza kwa kubeza imani za wenzako? hakika kauli hizi ndizo zituharibiazo nchi!!!
Wewe unahoma kali sana! mtu kuuliza mbona hamna jeneza wala msalaba, ndio nchi iharibike!!!
Unatakiwa kumwelekeza tu kuwa kuzikwa sio lazima kuwe na hivyo vitu kwani kuna imani nyingi tu, na wengine hawana imani kabisa!
Kila mtu ana uelewa tofauti, kutokana na uelewa wangu mdogo niliona maneno "au ndio wale wazikao kama mzoga na wanataka wakati wa kuchinja wafanye ibada" kama sio maneno sahihi kusemwa katika kipindi hiki kigumu tupitacho. Kwa kuwa mwenzangu unaona maneno hayo hayana madhara sina la kuongeza.
pole kama nimekukwaza,nisamehe bure!
but am vegetarian my dear dont worry!miss you vampire,come suck me
but am vegetarian my dear dont worry!
mtu unaonekana kabisa umefukiwa chini ila watakuja watu wenye mikwara watakwambia eti kuna kwenda mbimguni na treni gani?ukiuliza nini wamefundishwa na imani zao za kigeni ambazo wako karibu kutoana roho kwazo.yote kwa yote kifo kiboko cha mwanadamu
Nani alikuambia YESU alizikwa? Mwili ulihifadhiwa ule tena na sanda ya bei ghali. Siku ya tatu akafufuka kutoka kwa wafu, Ameketi mkono wa kuume wa BABA, kutoka huko atakuja kuwahukumu wenye haki na wasio haki. Siku inakuja.ama kweli wazungu walishawaharibu akili...Ivi kuna umaarufu gani kuzikwa uku umevaa suti tena ya bei Mbaya? kuna umaana gani ya kuzikwa na Jeneza? ni mara mia wakavitumia wanaobaki kuliko kuvifukia chini ili vioze...Hivi YESU alizikwa na Suti au sanda?
Unapata nini wewe kilaza kwa kubeza imani za wenzako? hakika kauli hizi ndizo zituharibiazo nchi!!!