Matatizo makubwa ya wanaume chumbani

Matatizo makubwa ya wanaume chumbani

Ila kuna kibamia ni ugonjwa kikiinuka ni kama kale kapilipili kichaa

Ila hivi vibamia vifupi vinene shsshhhshh
Hicho unachosema wewe huo ni ulemavu,

lakini vile vya kulingana kidole cha pete mbona vitamu tu muhimu kisiwe legevu hata mwanamke awe na uchi mpana size ya beseni hako kabamia kanampigisha yowe fresh tu sababu hisia za uke zipo kwenye kuta, mashavu, kisimi na ndani kidogo ukuta wa juu kwenye hiyo gspot

Akiongeza na mautundu mengine ya kunyonya chuchu, nyonga, ulimi, shingo na masikio...vile vile akawa fundi bomba heheeee ntampigia magoti kama yote
 
@Depal,Vile vya legelege vinaleta changamoto mno ila tufanyaje tu
 
[emoji1] [emoji1] Nyege mshindo ndo tatzo mkuu
Kunywa soda naja kulipa, umesema kweli wengi hawajiamini, halafu wengine papara nyingiii unajikuta anakushika hapa mara kakimbia kule mara kakubinya ziwa kama analinyoa, mara paap keshakupandia kama guta na bahati mbaya dakika mbili kamaliza
 
Bujibuji,
Kwanza ulishawahi kujiuliza hili wimbi la vibamia limetoka wapi.

Moja wanawake wetumika sana sasa kila akifanya mambo yake huwa wanafanya ulinganifu (kumbuka kuwa maumbile ya wanaume yametofautiana).

Pili miili ya hawa Dada zetu wengi imekuwa over standard yani ni mikubwa kweli kwa hiyo nayo inaathiri pia ufanyaji ngono.

Sasa wanawake matatizo yote wameyaleta kwa wanaume bila wao kutafakari na kuwasababishia stress wanaume.

Over
 
Ukiondoa tatizo la low sperm count, (hili haliathiri ufanyaji)

Tatizo lenu kubwa wanaume ni kutokujiamini (lack of confidence).

Tumia vizuri kibamia, Tumia vizuri dakika zako chache, utafurahia na kumfurahisha mwenzio...
Hapo kwenye kujiamini ndio hasa. Wengi siku hizi wamemezwa na mitandao,kwa hiyo anapoenda kwenye hiyo shughuri mawazo yanabaki aliyotoka nayo mtandaoni
 
Back
Top Bottom