Matatizo makubwa ya wanaume chumbani

Matatizo makubwa ya wanaume chumbani

[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] naona mwenye mgobole wako unajitahidi kweli kutetea mali yako
Me sina kitu mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jangala jamani mpaka unang'atwa .....hayo yote ni maraha hata usimshangae wifi yangu

Kazia hapo hapo mpaka siku moja azimie ubarikiwe sana kumfurahisha huyo mwanamke na mbinguni mtaenda vibamia wote
[emoji23][emoji23][emoji23]
Agiza soda nakuja kulipia.
 
Hahahaha

Picha ya vidole vyangu sitaiweka hapa lakini aina ya vidole nilivyotolea mfano vinajulikana

Nimevipima urefu kwa sentimita cha kati kuanzia kwenye maungio mpaka ncha ya kidole ni sentimita 8 na cha pete ni sentimita 7.6......sina kucha ndefu
vidole vya kike vinafanana kwa kiasi kikubwa naamini atakuwa kapata picha
 
Hakuna Mwanamke chini ya Jua anapenda Kibamia hayupoo.. Tatizo kibamia hakifiki panapotakiwaaa sasa kama Demu ashawahi onjaa zinazofika kunakoo mzee baba aisee labda uwe na Pesaa ale pesa zako lakini kuna mwana atakuwa anamlaa tuu vilivyo.
Kwahio wanaume wote wanazo kubwa sio?.

Mapenzi ni zaidi ya tendo
 
Hamnaga kibamia
Mwanamke km kakutana na wanaume wachache ama mmoja hawezi jua sana kuhusu size..hana experience


Km vile mwanaume kujua km kuna mashimo..umalaya tu ndo umemjuza
nadhani kwa miaka ya nyuma hili lingekuwa kweli kwa asilimia 100..ila sio sasa.
hata kama binti hajatembea na wengi kuna reference mitandaoni anaweza jionea mwenyewe
 
Back
Top Bottom