Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,912
Ndio lile basi la kuchora.Mnakumbuka Issue ya Bujampola Bus Service?
Ambalo unaoneshwa tu picha na kukatiwa tiketi??
Ndio lile basi la kuchora.Mnakumbuka Issue ya Bujampola Bus Service?
Sawa, ila si kaeleza chanzo au?Kanyaboya ni kitu chochote kilichokuwa kinatumiwa na matapeli kukuaminisha kuwa ni kitu genuine. Mfano unaweza kufungia gunia matambara kwenye mfuko ukidhani umepewa shati. Ule mfuko wenye matambala ndiyo unaitwa kanyaboya
Yaani jamaa alifanikisha kukusukumia ukuni nyama?!Dah umenikumbusha mbali sana miaka ya ,86 nipo darasa la nne enzi hizo alikuja jamaa mmoja hivi sijui ni kabila gani yule mwamba ila ndio hivyo alifanikisha
Kuna jamaa alikujaga mkoani kwetu enzi za chemsha bongo ina hit eti anajifanya Nigga J, basi watu wakawa wanamshobokea ananunuliwa mihogo ya kukaanga na kachumbari bure. Nigga J gani hana hata ela ya kununua mihogo. Kakalili mistari anawashushia rhymes wana.
Looking back nacheka sana.
Tapeli Hana hurumaKweli na kundi hilo hua wanatapeliwa sana kwa ajili ya shida zao.
Ila vitu vingine ni kujitaftia tu laana zisizo na msingi, mtu anapambania maisha inakuja tena unamtapeli
😂😂😂😂😂 Mkuu ya Kweli ? Daaah Nimecheka Sana kwa sauti kuubwaaaNakumbuka mmasai mmoja aliuziwa Msikiti mkubwa wa Ijumaa wa Morogoro.Sisi tunaenda kufanya Ibada tunafukuzwa na yule masai.Mbona ilikuwa mfacane war ile .
Alikula uroda?Dah umenikumbusha mbali sana miaka ya ,86 nipo darasa la nne enzi hizo alikuja jamaa mmoja hivi sijui ni kabila gani yule mwamba ila ndio hivyo alifanikisha
Kama wewe ni mzaliwa wa Moro hii stori ipo ya zamani sana na matepeli walikuwa wanajulikana ingawa kwa ss wanekuwa wazee na wengine swala tano hv sasa😂😂😂😂😂 Mkuu ya Kweli ? Daaah Nimecheka Sana kwa sauti kuubwaaa
Mkuu upo? kwema?Sawa, ila si kaeleza chanzo au?
Dah nimecheka ilikuwaje sasaNakumbuka mmasai mmoja aliuziwa Msikiti mkubwa wa Ijumaa wa Morogoro.Sisi tunaenda kufanya Ibada tunafukuzwa na yule masai.Mbona ilikuwa mfacane war ile .
Mrundi huyu 😁😁😁sema ndo vile......maana warundi ndo wanatumia kifaransa huko.....mbongo kukijua hadi kufundisha sio rahisiKifaransa alikijulia wapi huyu kwamba?
DaahKuna asubuhi moja jamaa alipita kila nyumba anapiga hodi watoto wakifungua anawaambia baba yenu kaaniagiza niwaletee asali naomba chombo. Alikusanya sufuria mtaa mzima akalala nazo mbele.