Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
Tangazo la jamaa wamekwama mbugani wanahofu kuliwa na simba, eti "nguvu ya m-pesa itakuokoa popote ulipo"
na wewe tangazo lipi unalifahamu.....
na wewe tangazo lipi unalifahamu.....
Bwana yesu asifiwe mwita!!!Tangazo la kuku wa Mlimani City linanichefua sana. Eti anatokea bata kwa nyuma halafu anampiga denda kuku halafu kuku anaanza kupandisha mzuka hadi anapata midadi halafu anakosa wa kumshughulikia. Hili tangazo lipigwe marufuku kwasababu linawadhalilisha wanawake.
hapo ni maximum concentrationhata hiyo avatar yako inapotosha.
hapo ni maximum concentration
kwa hiyo unasemaje.
wanaangalia au mnaangalia!??haaa haaa, wanaangalia maua/flowerz
Tangazo la kuku wa Mlimani City linanichefua sana. Eti anatokea bata kwa nyuma halafu anampiga denda kuku halafu kuku anaanza kupandisha mzuka hadi anapata midadi halafu anakosa wa kumshughulikia. Hili tangazo lipigwe marufuku kwasababu linawadhalilisha wanawake.
hapo ni maximum concentration
Kwani wanawake ni kuku?
wanaangalia au mnaangalia!??