MIXX BY YAS na misemo ya kihuni

MIXX BY YAS na misemo ya kihuni

Mu7

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2013
Posts
1,654
Reaction score
2,002
Hivi hakuna chombo chochote cha kufuatilia aina ya matangazo ambayo makampuni wanayaandaa kabla hayajatangazwa kwa umma?

Ilipokuwa ikiitwa TIGO hawa jamaa walituletea msemo kwenye tangazo lao usemao: JAZA UJAZWE. Huu msemo una ukakasi wa kihuni/kingono.

Sasa wamejibadili jina na kuwa Mixz by Yas. Jina tu ni la kihuni halafu wanatuletea msemo kwenye tangazo lao usemayo: IKIINGIA TU, GOLI! Maana yake nini kama si uhuni na ungono tu??

Serikali iwaangalie hawa wahuni wanatuharibia maadili!
 
Wenye kampuni hawana kosa ni watu ndio wanalitumia jina vibaya, hilo neno kwenye kiswahili halina maana hiyo wala halipo kabisa bali watu walitunga maana yao na kuanza kulisambaza
Mfano jina la makebo miezi mitano nyuma ilikuwa ni jina la kawaida tu humu ila baadhi ya watu wakatengeneza maana nyingine na sasa jina limekuwa kama lilivyo sasa
 
Hivi hakuna chombo chochote cha kufuatilia aina ya matangazo ambayo makampuni wanayaandaa kabla hayajatangazwa kwa umma?

Ilipokuwa ikiitwa TIGO hawa jamaa walituletea msemo kwenye tangazo lao usemao: JAZA UJAZWE. Huu msemo una ukakasi wa kihuni/kingono.

Sasa wamejibadili jina na kuwa Mixz by Yas. Jina tu ni la kihuni halafu wanatuletea msemo kwenye tangazo lao usemayo: IKIINGIA TU, GOLI! Maana yake nini kama si uhuni na ungono tu??

Serikali iwaangalie hawa wahuni wanatuharibia maadili!
Wewe ndo muhuni, tafuta hela ,makasiriko ya kijinga hutayaona.

Ukiwa na pesa unakuwa mtu wa kui- ignore mambo yasiyo na faida kwako, ni ngumu sana kumkuta mtu mwenye uhakika wa Milo mitatu kwa siku akawa na mawazo ya kijinga kama wewe.
 
Hivi hakuna chombo chochote cha kufuatilia aina ya matangazo ambayo makampuni wanayaandaa kabla hayajatangazwa kwa umma?

Ilipokuwa ikiitwa TIGO hawa jamaa walituletea msemo kwenye tangazo lao usemao: JAZA UJAZWE. Huu msemo una ukakasi wa kihuni/kingono.

Sasa wamejibadili jina na kuwa Mixz by Yas. Jina tu ni la kihuni halafu wanatuletea msemo kwenye tangazo lao usemayo: IKIINGIA TU, GOLI! Maana yake nini kama si uhuni na ungono tu??

Serikali iwaangalie hawa wahuni wanatuharibia maadili!

Juzi nimesikia kwenye radio(sijui radio gani) kipindi kinaitwa BAO LA ASUBUHI

Kimsingi mitandao imeshajua akili za % kubwa ya wabongo zipo kwenye ngono,nao wanatembelea humo humo
 
Hivi hakuna chombo chochote cha kufuatilia aina ya matangazo ambayo makampuni wanayaandaa kabla hayajatangazwa kwa umma?

Ilipokuwa ikiitwa TIGO hawa jamaa walituletea msemo kwenye tangazo lao usemao: JAZA UJAZWE. Huu msemo una ukakasi wa kihuni/kingono.

Sasa wamejibadili jina na kuwa Mixz by Yas. Jina tu ni la kihuni halafu wanatuletea msemo kwenye tangazo lao usemayo: IKIINGIA TU, GOLI! Maana yake nini kama si uhuni na ungono tu??

Serikali iwaangalie hawa wahuni wanatuharibia maadili!
Hapa ni wapi?
 
Misemo ya misimu/muda mfupi tu.Usiteseke ingawa huo mtandao kila kauli mbiu zake hubadilishwa maana na ndivyo hutangazwa zaidi.Ni faida tupu kwa kampuni kutangaziwa hizo kaulimbiu zao bila gharama yoyote.
KUMBUKA-Buzz ni bomba ...la m...!
Sijui Genesis ya kauli za hawa jamaa kuhusishwa na ngono
 
Back
Top Bottom