Matangazo ya Mzee Majuto ITV yanaboa

Matangazo ya Mzee Majuto ITV yanaboa

Waende wakatengeneze TV1 wale jamaa wako njema ona matangazo ya kupatana,mo spaghetti nk waache ubahili
 
Sipendi lile la majuto et bucta inamteremka sasa wakona kabisa nalo ni tangazo yaaani sijui huuu ujinga tumerithi wapi
 
Huyu Mzee hawez lolote MI Huwa siangalii movie wala Matangazo labda watoto ndo anawafaa
 
Wachague basi mtu wa maana, sioni talent ya Majuto kabisa
Nani anajali Ndg yangu....nikiangaliaga Matangazo ya jamaa wa West Africa au hapo Kenya daah..hata kama nitangazo la Pipi linakuwa la ukweli hapa kwetu MTU anatangaza Cement unaishia kucheka tu
 
Kuna lile la sabuni sijui ya krisoft yupo asamoh gyan wa ghana utumbo mtupu
 
hiyo namba 1 safari ni safiri ni kisoda kimoja kinasafiri mikoa kibao kwa usafiri tofauti tofauti tu dah hv jamani naweza nikapata wapi copy ya hili tangazo niwe naweka tu naliangalia nabuludika dah nakumbuka kitambo na HITACHI yetu inchi 21 hatari sanaa
Sijui kama unamaanisha lile la TV then Mchezaji wa Simba wa zamani NTEZE JONH LUNGU anatokea anatokea anasema HAIJABADILIKA kama nilile waKENYA ndio wametengeneza
 
Linaboa kuliko matangazo yote mnayorusha. Jaribuni kuwa creative. Yote ya magodoro na ivory sweets.

Inatusababisha baadhi yetu tuchukie products zenu
Mbona umesahau lile la maji ya kilimanjaro asubuhi wakati wa kipindi cha BBC yule mtoto anadai kutunzwa na mamaake then mamaake anampatia maji! Lina bore kichizi!
 
Sijui waandaaji waliwaza nini, matangazo hayana mvuto
Naona ndio cheap labour ,matangazo ya gharama wenye makampuni hawataki kujihusisha nayo,unadhani ingekuwa Scanad au Ogvily wangeleta huo ujinga angalia matangazoya wenzetu hapo kwa Uhuru na linganisha na hayo ya akina Majuto hapo ndio utaona utofauti
 
Zamani bwana matangazo yalikuwa mazuri sana, mpaka unakariri mfano:
1. Safari ni safari
2. Goldstar ile ya " Mr. Moses unamwezi mmoja tu , uihame nyumba yangu"
3. Chai Jaba
4. Chai Bora
5. Cowbell


Siku hzi hamna kitu
Omariiiii kazi gani wafanyaaa kazi ni kujikuna ngwarangwaraaa....
 
Back
Top Bottom