Matangazo ya Mzee Majuto ITV yanaboa

Matangazo ya Mzee Majuto ITV yanaboa

Ni kweli bongo matangazo hayani ubunifu kabisa sijui ni wateja kuwa wabahili au watengenezaji kukosa ubunifu..Ukiangalia channel za kihindi kuna matangazo mazuri hadi unatamani lirudiwe tena ufaidi..hapa bongo ni tofauti kabisa yani matangazo yakijinga na matangazo ya magodoro ndo yanaongoza kwa ubovu..!!
Matangazo ya biashara ni kitu kinachotumia muda, akili, ubunifu na elimu kutengenaza. Ni sanaa tu kama uigizaji. Sasa ukiangalia level ya uigizaji Tanzania sidhani kama kuna tegemeo la kuwa na matangazo mazuri. Labda watengenezee nje eg Kenya
 
Back
Top Bottom