Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,596
Matangazo hayo hayatengenezwi na ITV.....Linaboa kuliko matangazo yote mnayorusha. Jaribuni kuwa creative. Yote ya magodoro na ivory sweets.
Inatusababisha baadhi yetu tuchukie products zenu
Matangazo hayo hayatengenezwi na ITV.....Linaboa kuliko matangazo yote mnayorusha. Jaribuni kuwa creative. Yote ya magodoro na ivory sweets.
Inatusababisha baadhi yetu tuchukie products zenu
....wewe lile tangazo kali sana!..labda kama una sababu binafsi zaidi!Hata hili la Chedi na grp lake la ma ex whatsap, nini sasa kile?
Omari NgwarangwaraOmariiiii kazi gani wafanyaaa kazi ni kujikuna ngwarangwaraaa....
na wanawake mkuu..ila cdhani kma kuna mwanaume anayejielewa anaweza kufurahia upuuzi wa huyo Mzee!!Huyu Mzee hawez lolote MI Huwa siangalii movie wala Matangazo labda watoto ndo anawafaa
hahaha mi ke lakini hapana to majuto labda mwananguna wanawake mkuu..ila cdhani kma kuna mwanaume anayejielewa anaweza kufurahia upuuzi wa huyo Mzee!!
Makampuni ya simu yana pesa kuliko watengenzaji wa Ivory sweet na Magodoro, hivyo hata uwekezaji kwenye matangazo lazima utofautianeMatangazo mengi ya hapa nchini ni mabovu ukiondoa Yale ya makampuni ya simu
Ukali wake ni upi?....wewe lile tangazo kali sana!..labda kama una sababu binafsi zaidi!
...ubaya wake ni upi?Ukali wake ni upi?
tuwe wakweli tu hya matangazo ya tz noooWewe ni wivu unasumbua kama hupendi hayo matangazo kwani unalazilishwa kuangalia?
kwa hiyo?tuwe wakweli tu hya matangazo ya tz nooo
kwahiyo nini wajirekebishe hakuna cha kwahiyokwa hiyo?
Linaboa kuliko matangazo yote mnayorusha. Jaribuni kuwa creative. Yote ya magodoro na ivory sweets.
Inatusababisha baadhi yetu tuchukie products zenu
MKUU hata mim mwanzoni matangazo ya majutu sana sana ya Ivory yalikuwa wananiboa sana. Ila nimekuja kugundua walengwa wa haya matangazo (watoto) wanayapenda sana.Linaboa kuliko matangazo yote mnayorusha. Jaribuni kuwa creative. Yote ya magodoro na ivory sweets.
Inatusababisha baadhi yetu tuchukie products zenu
Swali halibiwi kwa swali au ndivyo mnavyofundishwa huko kwenye Makambi mnayoita Shule...ubaya wake ni upi?