aliyekufa duluti anaitwa AZZA,YULE FUNDI KOROBOI ANAITWA JIRANI AU MSWAHILI jirani na nyumba ya baba mgonja.hamadi nilimtunga jina mimi nikamwita hamadi kachozi sababu ya kengeza alilonalo,mgambo amosi baba yake Samdo aliwahi kukata mpira wangu na kisu tukicheza pale kwa doctor.Juu ya juhudi baa.mazee pengine weye ni kachaa wangu kabisa.Pale kwa jirani kuna bibi Rekha kwa chini baba henki mashine ya kusaga ya Anthon mpishi,KUSHOTO KWA BABA FALAA.Kwa chinibaba Rashidi MBIGIRIRA,halafu baba REHEMA SUBIRA AYUBU BEKA,Kisha mama John mbawalla wakina dissi god william,nyuma unamkuta mzee mmoja mrangi ALIITWA WAHUWA AU NG'ADU,KUSHOTO MAMA PHILIPO mumewe alikuwa akiendesha malori ya K.N.C.U,HALAFU PALIKUWA NA PHILIPO MWINGINE NYUMBA YA JIRANI MTOTO WA MAMA KIDI.KISHA ROMBO BAR KWA MAMA LYARUUU.YAAP MUTOTO YA KITAA KABISA.