Ghost Republic
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 673
- 628
Asante MkuuDah pole sana
Vipi bado uko moshi?
Msalimu sana mzee wetu
Niko Moshi one time mkuu
Nitazifikisha mkuu
Asante MkuuDah pole sana
Vipi bado uko moshi?
Msalimu sana mzee wetu
Nimeiondoa. Labda na wewe uiondoe hiiHahahah taratibu basi
Usifanye uzi ukafungwa jamen
Sawa naitoa mkuuNimeiondoa. Labda na wewe uiondoe hii
Hahahaaaa nyie hamkuwah kutembelewaMji ulizizima
Hawa jamaa ilikuwa kitu cha kawaida kuona paroko anawatembelea nyumban
Pesa hii! !!
Huyo mzee alisha tangulia mbele za haki,Huyu jamaa kipindi hicho mshua ana push Peoget 505 yeye alikuwa na Range Rover 4.6 manina walahi ..ila mambo juu ya mstari sasa hivi kakalia Autobiography ...ama kweli riziki mafungu saba .
Tutembelewe wapiHahahaaaa nyie hamkuwah kutembelewa
Hahahah vipi hukuwahi mwibia?Huyo mzee alisha tangulia mbele za haki,
Huyu mzee nimemchambulia sana mawe, kipindi hicho nikiwa zuzu ananiachia kazi ya kuchambua dhahabu nikamaliza nakimbizana na watoto wake wa kike kwenye makochi..
likuwa matajiri kwa kuwa mzazi wenu aliweza hata kuwaelekeza umuhimu shule na leo ni familia iliyofanikiwa kuzidi yao kwa yale mlionayo na huwenda huyo tajiri alitamani maisha ya wazazi wako kwa amani alionayo.Hapana tulikuwa tunaamin katika Mungu na kufanya kazi kwa bidii,kumbe wenzetu wanasali huku wanaweka jitihada binafsi za halamu
Hahaha njiwa hardwareAnaitwa Anselim Kavishe maarufu Njiwa Hardware,alishafariki kitambo alikuwa mze wa pessa na totooooooosssssss kwa kwenda mbele,ukimkuta Mkulima Baa au Sterio Baa iliyokuwa Opp.Tanesco ni mwendo wa kuku mchemsho kwa saaana na lundo la wapambe.lakini ndo hivyo tena maisha matamu lakini mafupi R.I.P Njiwa.
Hahaha ila ungemwibia banam
likuwa matajiri kwa kuwa mzazi wenu aliweza hata kuwaelekeza umuhimu shule na leo ni familia iliyofanikiwa kuzidi yao kwa yale mlionayo na huwenda huyo tajiri alitamani maisha ya wazazi wako kwa amani alionayo.
Hahahah huyoKuna tajir mmoja hapo Mo kilamwisho Wa mwaka alikuwa lazima afanye sherehe kubwa home kwake
Kiingilio chako ni lazima unawe mikono na Maji utakayo yakuta pale getini pamoja na juice usipo fanya hivyo huwez kuingia
Na watu walikuwa wanamiminika balaaa
Mkuu heshima yako...kuna vitu umeongeza.!!!Hahahahah
Wameua sana tembo wa Kenya
Ila walikuwa wakikamatwa wanatwangwa shaba, maiti inarudishwa moshi
Wameihujumu sana tsavo
Si wote lakin
Hahahah ndo hivoMkuu heshima yako...kuna vitu umeongeza.!!!
Mzee Juma Mawalla ana watoto wa kiume wenye mawe likely Nyaga.Kama Unamzungumzia Nyaga Mawalla Ni Marehemu Saivi.
Okay thanks,uyoo jamaa taikuni mkubwa Sana MoshiZina uhusiano na malya wa moshi academy na northen highlands..
sawa mkuu,,, mimi sina comments japo nimezunguka sana maeneo hayo...Hahahah ndo hivo
Tulikuwa tunasali nao kristu mfalme pale
Wanatoa mafungu mengi tu church
Ila nyuma ya Pazia duuhh
Na Mungu hamfichi mnafiki kamwe
Hahahaha Njaa imesababisha nyota zika bebwa na mjamaa ila mnapenda pilau sana wenyewe mnaita kipusti ndio maana mlikamatikaHahahah huyo
Yalikuwa masharti hayo
Hahaha wachaga kwa kupenda uchawi wa kununua hawajambo
Tulimiminika shauri ya njaa jamen
Hahahah
Unaizungumzia mtefu wa kdc au? Au Galilaya wa Mwika-lole?maana ndo michezo yao iyooKuna tajir mmoja hapo Mo kilamwisho Wa mwaka alikuwa lazima afanye sherehe kubwa home kwake
Kiingilio chako ni lazima unawe mikono na Maji utakayo yakuta pale getini pamoja na juice usipo fanya hivyo huwez kuingia
Na watu walikuwa wanamiminika balaaa