calisy
Senior Member
- Apr 23, 2014
- 104
- 9
Kama ulitumiwa msg kuwa unatakiwa kwenda kwenye interview ni lazima watakuwa walikutumia msg... Ukiona kuwa hawajakutumia kuna uwezekano mkubwa ikawa wakati unawatumia maombi yako labda ulikosea kuiandika vizuri email yako hivyo wakatuma kwa mtu mwingine. Hivyo jitahidi siku ya interview ufike kwenye hiyo venue mapema na kuwauliza wahusika mapema wakupe msaada au vinginevyo fika HQ kabisa siku kadhaa kabla upate muongozo wao
Ila kama hata msg kutoka kwao haujapata kuwa watakiwa kwenye interview yao basi yakupasa kuelewa kuwa haujabahatika kwenye hilo na ujaribu tena pindi watakapotangaza nafasi mpya.
Vinginevyo fanya kama nilivyosema hapo juu kama ni kweli ulipata msg kutoka kwao
message nimepata ila sijapata email