Maswali ya interview walioitwa NSSF

Kama ulitumiwa msg kuwa unatakiwa kwenda kwenye interview ni lazima watakuwa walikutumia msg... Ukiona kuwa hawajakutumia kuna uwezekano mkubwa ikawa wakati unawatumia maombi yako labda ulikosea kuiandika vizuri email yako hivyo wakatuma kwa mtu mwingine. Hivyo jitahidi siku ya interview ufike kwenye hiyo venue mapema na kuwauliza wahusika mapema wakupe msaada au vinginevyo fika HQ kabisa siku kadhaa kabla upate muongozo wao

Ila kama hata msg kutoka kwao haujapata kuwa watakiwa kwenye interview yao basi yakupasa kuelewa kuwa haujabahatika kwenye hilo na ujaribu tena pindi watakapotangaza nafasi mpya.

Vinginevyo fanya kama nilivyosema hapo juu kama ni kweli ulipata msg kutoka kwao

message nimepata ila sijapata email
 
nimewapigia simu wakaniambia nisubir dakika 10 niwapigie tena nimepoga simu haipatikan tena
 
Kikubwa ni kujiamini. Maswali always flexible. Kama kweli elimu hiyo uliyoipata haikuwa magumashi lazima utajiamini. Unajua ukimsikiliza eti fulani aliulizwa hivi ujue elimu yako na wewe ina walakini

Wewe umeitwa interview au haujaitwa?
 
kuita kwenye written interview wanaangalia minimum qualification walizoziweka, mi ni mkristo na nimeitwa, natoa picha ya interview maana niliwahi fanya mara ya kwanza:
interview ilikua na secion 3
1. kiingereza
2. hesabu
3, ni professnal, ujue what is operatons Managemet, na chochote kinachiusia na operations, hakukuwa hata na swali moja la siasa, NSSF, wala JOB Descriptions

cjakuelewa hapo kwenye professional je kuna topic ya operation management inayosomwa darasani kwenye mambo ya social security n.b mimi sijasoma social security

Kama hakuna why umesema maswali hakuna hata moja la nssf? Nnavoelewa kama ni masuala ya operational si yanahusu operations za nssf moja kwa moja?
 
cjakuelewa hapo kwenye professional je kuna topic ya operation management inayosomwa darasani kwenye mambo ya social security n.b mimi sijasoma social security

Kama hakuna why umesema maswali hakuna hata moja la nssf? Nnavoelewa kama ni masuala ya operational si yanahusu operations za nssf moja kwa moja?

kwa kifupi tupe hta swali moja unalo kumbuka
 
maswali yalikuwa ya kuchagua/ true and False, kwa mfano swali lilikua
1: responsibilities of Operation Manager:
jibu:organize,plan, control, staff, and manage
ila wanakuwa wamechanganya na vitu vingine, kwenye kuchaua hilo


 
mi niliwahi kusoma kama somo darasani kwa hiyo nikiona hayo maswali nayakumbuka maana kama siku ile mengine yalikuwa ya darasani
 
mi niliwahi kusoma kama somo darasani kwa hiyo nikiona hayo maswali nayakumbuka maana kama siku ile mengine yalikuwa ya darasani

Kweli mkuu nimekumbuka,sasa kule kwenye section yao kama ni mambo ya darasani huwezi kutupa topic tukagoogle,maana hiyo section ndio inasumbua kwa sisi ambao hatujasomea fani hiyo!?
 
somo linaitwa Production and Operations Management,
topic inaitwa Opertions and Productivty
 
maswali yalikuwa ya kuchagua/ true and False, kwa mfano swali lilikua
1: responsibilities of Operation Manager:
jibu:organize,plan, control, staff, and manage
ila wanakuwa wamechanganya na vitu vingine, kwenye kuchaua hilo



ohh sawa nakumbuka hio kitu kwny management function za manager POSDCORB waliosoma management wanaelewa
 
Nyie ongopeanen tu

na hayo maproduction and operations management

kiuhalisia hayo PODSCORB sijui hayareflect kaz za operations officer ktk social security industry
 
kuita kwenye written interview wanaangalia minimum qualification walizoziweka, mi ni mkristo na nimeitwa, natoa picha ya interview maana niliwahi fanya mara ya kwanza:
interview ilikua na secion 3
1. kiingereza
2. hesabu
3, ni professnal, ujue what is operatons Managemet, na chochote kinachiusia na operations, hakukuwa hata na swali moja la siasa, NSSF, wala JOB Descriptions

umenifungua kitu hapo mkuu kwny hiyo thread....much luv
 
wadau mnajua kama tumeshakaa sana huku kitaani kwa kuwa hatukuwa na ajira na sasa tumepata interview tusaidiane japo idea ya chchte kuhusu hawa NssF
 
Nyie ongopeanen tu

na hayo maproduction and operations management

kiuhalisia hayo PODSCORB sijui hayareflect kaz za operations officer ktk social security industry

Tuambie bas wewe unavyoelewa Mkuu

Ila hio Posdcorb ni function za manager sema ni kama herufi inayokufanya usizisahau,p- planning,o - organizing,s- staffing kama hivo na kuendelea

operation manager ambae hua anapatikana ktk low level kwny management kazi yake ni kudeal na operating functions ambazo zinakua ni zile activities zinazoensure smooth operation Na zina increase efficiency ya day to day activities na huyu ndie anadeal zaid na watu ambapo katika social security operation officer anafanya hizo kazi Pia ikiwemo kufanya inspection kama member wamelipa michango,kuadminister benefit nk

Hizo function za operation officer ukizichambua zinafit zote katika hizo za manager mfno kazi moja ya manager ni reporting ,operation officer pia anafanya hio kazi anagenerate report kukeep wale ambao uko responsible kwao na staff wa kawaida waelewe nn kinachoendelea

sizani kama kuna utofauti kati ya operation manager na officer nisahihishe kama kuna kitu nimekosea
 
Back
Top Bottom