Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,519
- 32,675
Tuambie bas wewe unavyoelewa Mkuu
Ila hio Posdcorb ni function za manager sema ni kama herufi inayokufanya usizisahau,p- planning,o - organizing,s- staffing kama hivo na kuendelea
operation manager ambae hua anapatikana ktk low level kwny management kazi yake ni kudeal na operating functions ambazo zinakua ni zile activities zinazoensure smooth operation Na zina increase efficiency ya day to day activities na huyu ndie anadeal zaid na watu ambapo katika social security operation officer anafanya hizo kazi Pia ikiwemo kufanya inspection kama member wamelipa michango,kuadminister benefit nk
Hizo function za operation officer ukizichambua zinafit zote katika hizo za manager mfno kazi moja ya manager ni reporting ,operation officer pia anafanya hio kazi anagenerate report kukeep wale ambao uko responsible kwao na staff wa kawaida waelewe nn kinachoendelea
sizani kama kuna utofauti kati ya operation manager na officer nisahihishe kama kuna kitu nimekosea
nadhani ipo kwenye kutoa maamuzi.