Maswali ya interview walioitwa NSSF

Maswali ya interview walioitwa NSSF

jamen kuna mtu yoyote kapigiwa simu leo kutoka nssf kufahamishwa kuwa kabadilishiwa serial number yake ya pepa??plz nijibun maana me nimepigiwa cm nimepewa serial kpya aty ile ya kwenye email niachane nayo....dnt knw f tz true or not...so n'body alopigiwa plz roho yangu itulie

Hata mm nimepigiwa kwa namba hii: 0764 140 033. Leo mida ya mchana. Kanambia muda wangu wa interview na serial number imebadilika. Dah,hapa nilipo nipo njia panda jamani. Najiuliza je ni kweli hii call imetoka HR-NSSF au ni mambo ya phishing hayo.
 
Ila kesho nimepanga niende pale NSSF HQ nikapate ufafanuzi zaidi. Nitakuja na mrejesho kwa hili wadau..
 
Hata mm nimepigiwa kwa namba hii: 0764 140 033. Leo mida ya mchana. Kanambia muda wangu wa interview na serial number imebadilika. Dah,hapa nilipo nipo njia panda jamani. Najiuliza je ni kweli hii call imetoka HR-NSSF au ni mambo ya phishing hayo.

Mimi nimepigiwa kwa namba hii 0765140273 kuwa serial namba imebadilishwa ila muda na siku ni ileile
 
Inshalah tuombe uzima na kupewa ushirikiano wa kuridhisha toka kwa HR-Dept staffs.

Mimi nimepigiwa na namba hii 0765 140 273 kuwa serial namba imebadilika ila muda na siku ni ileile
 
Naomba kuuliza plz...kuna watu nimeckia wamepangiwa interview mchana na wengne sie asubuh na kuna wengine nimesikia aty wamepangiwa siku nyingine tofauti na tar.13...ss swali ni hili inawezekana kweli tuloitwa asubuh ndo wale tulosomea mambo ya public adminstration au human resource?cz ktk list ya frendz zang wte tuloitwa pale tumesoma ktu kimoja na tumepangiwa asubuh...bt kuna mmoja kasoma law amenambia yy kaambiwa mchana...so dnt u think kuwa wanapanga watu kulingana na walichosoma??f so hamfikirii kuwa wanaweza wakaleta maswali ambayo yanahusu proffessional zetu tulizosomea??n' idea plz...hvyo ndo me nlikaa nikafikiria bt am not sure

asherybbz swali zuri cz kama mm nimepangwa mchana nimepiga vitu vya I.T mkuu
 
Bora uende ili utujuze mana ata mimi mwenyewe nimepigiwa nakuambiwa serial no yangu imebalika! Mie nimepigiwa na no ya aital
 
Hao nao wanataka kuchanganya watu cha msingi wabandike majina na serial number huko ifm b4 pepa ,kama mm sijapigiwa hio sim
 
jaman email zipo angalien vizur mie nimeiona kwenye spam
 
Tujiadhali wadau hawa watu wasije wakawa matapeli! Tusije poteza nauli zetu tu
 
Jamani kwa wale wadau ambao tumeitwa interview NSSF mwenye idea ya maswali yanayoulizwa kwenye iyo interview tuje tudiscuss hapa,au kama unakumbuka position description tupeane hapa,..najua maswali hayatakua exactly like here but tupeane ideas alafu at the end of the day kwenye mtihani unachanganya na akili zako za kuzaliwa ,haimaaninishi kama ukuleta idea hapa tutakuzidi au tutakupita najua kila mtu ata gain na kupata kitu kipya. karibuni waDAU WAPENDWA
inafanyika lini na venue gani hiyo interview
 
jaman kwenye mail wamesema twende na vitambulisho mie sina
 
Nimepigiwa simu ya mabadiliko ya serial number, kuna mwingine alopigiwa??
 
Back
Top Bottom