jaman kwenye mail wamesema twende na vitambulisho mie sina
Jamani nimekata Tiketi tayari!kwa ajili ya Interview lakini naona kuna viashiri vingi ambavyo vinaonyesha hao ni matapeli name sio NSSF mbaya zaidi naona mmoja wa matapeli hao nae anacoment APA! Jamaa forum kuhusu hii interview
Mrejesho ni huu jamani kuhusu ile simu. Nimetoka HR-NSSF HQ wamesema ni kweli zile simu tulizopigiwa,kwa hiyo tufuate maelekezo tuliyopewa na hao waliopiga simu. Ni hayo tu wandugu. Tuendelee kujiandaa kwa huo usaili.
Hilo hapana mkuu, mimi nimesoma I.T nimepangiwa asbh, wamechanganya fani tofautNaomba kuuliza plz...kuna watu nimeckia wamepangiwa interview mchana na wengne sie asubuh na kuna wengine nimesikia aty wamepangiwa siku nyingine tofauti na tar.13...ss swali ni hili inawezekana kweli tuloitwa asubuh ndo wale tulosomea mambo ya public adminstration au human resource?cz ktk list ya frendz zang wte tuloitwa pale tumesoma ktu kimoja na tumepangiwa asubuh...bt kuna mmoja kasoma law amenambia yy kaambiwa mchana...so dnt u think kuwa wanapanga watu kulingana na walichosoma??f so hamfikirii kuwa wanaweza wakaleta maswali ambayo yanahusu proffessional zetu tulizosomea??n' idea plz...hvyo ndo me nlikaa nikafikiria bt am not sure
Hilo hapana mkuu, mimi nimesoma I.T nimepangiwa asbh, wamechanganya fani tofaut
Mkuu KoreaKaskazin shwar aisee.....ni kujaribu tu hakuna kukata tamaa.#Bravo inakuaje mkuu?
Mkuu KoreaKaskazin shwar aisee.....ni kujaribu tu hakuna kukata tamaa.
kwenye mambo yetu ya I.T vp hawawz kuweka practical hawa jamaa? si unajua interview inavyotisha #BravoKuna mdau aliweka haya maswali...chek hapa chini...
Pia ingia ktk website yao, chek vision, mission, motto, who are they? And other important details..
1.what are the core function of operations officer?
2.what are difference of NSSF scheme benefits from other schemes?
3.what are the categories does scheme covers?
4. what are the benefits does scheme offer?