Maswali ya interview walioitwa NSSF

Maswali ya interview walioitwa NSSF

Wakuu wale walopangiwa saa sita wapo?

Mimi sikutumiwa email wala sms ila juzi j3 walinipigia mida ya saa moja jioni wakaniambia saa sita na serial number nimepewa. Me nimesoma Public Administration vp ww umesoma hiyohiyo?
 
Mie niliambiwa saa tisa nilipewa serial namba pia....nataka kujua kam mwenzang wa muda huo plz!!
 
Wakuu mnasoma nini sasa hizi, hvi kwani ni multiple choice au nikomae na essays?
 
Dah naona wadau wote wako chimbo hawataki masijara kabisa..hata kutembelea humu na kutudokezea kidogo ulichopitia muda huu
 
Hi! Ifm wana mwongozo wa mavazi na wapo strictly sana...so wanaoenda kwenye interview waangalie...maana kama hujavaa kwa sheria zao unarudia getini...kwa girls hawataki mipasuo na vimini..all the best
 
Back
Top Bottom