kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Kwema guys?
Tusichokane jamani,nimetwa kwenye interview mbeya cement nafasi ya finance.
Naomba kuuliza maswali gani huwa wanauliza,na mshahara wao huwa ni kiasi gani?
Tusichokane jamani,nimetwa kwenye interview mbeya cement nafasi ya finance.
Naomba kuuliza maswali gani huwa wanauliza,na mshahara wao huwa ni kiasi gani?