Maswali muhimu kuhusu serikali kuhamia Dodoma

Maswali muhimu kuhusu serikali kuhamia Dodoma

Hongera bro! Kwa kumpa ukweli NADHANI anawaza miradi yake iliopo hapa Dar itakufa
 
Na itatuthihirishia sio watekelezaji.
2020 tutawapiga chini kiulaiiiiiini [emoji39][emoji39]
Sio kwa huu ujambazi wao wakishirikisha vema mbinu zao za jechaism na napeism ref zanzibar na bao la mkono
 
Mpaka sasa dalili hakuna. Kabla hatujaenda kwenye Ukuta tumkumbushe wazir mkuu asije akawa amesahau kuwa alisema atahama 1/9. Sinakumbu kumbu kama alitaja mwaka.
 
Mpaka sasa dalili hakuna. Kabla hatujaenda kwenye Ukuta tumkumbushe wazir mkuu asije akawa amesahau kuwa alisema atahama 1/9. Sinakumbu kumbu kama alitaja mwaka.
Huna kumbukumbu kama alitaja mwaka...!!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Julius Nyerere tangu aazimie kuhamia Dodoma 1966 na kupitisha Azimio la Bunge 1973 mpaka anaondoka Madarakani 1985 hakuweza kuhamisha hata Wizara moja. Aliwahi kujaribu kuhamisha Wizara ya Mambo ya Nje lakini alipopelekewa Mchanganuo wa Bajeti yake aliufyata.
Kigezo pekee cha kupanga Dodoma kuwa Makao Makuu ilikuwa ukati kati wake pekee hawakutazama Ujangwa wala kupitiwa kwake na Bonde la Ufa ambacho ni kikwazo kikuu kwa ujenzi Mkubwa mkubwa.
Kwa Hili Magu kaharakisha kama alivyokurupuka MwlNyerere.
Angalau Mzee Mwinyi alijaribu kuukuza Mji wa Dodoma kwa kuifanya kuwa Tax havens ambapo ukiwekeza na kuzalisha Dodoma unalipa nusu ya kodi na hata utility ya Umeme na maji iliazimiwa ilipwe nusu bei japo utekelezaji wake nao haukufanikiwa.
Haikuandikwa Mbinguni kuwa Dodoma ni Makao Makuu ya Tanzania, ni utashi tu wa Mtu mmoja kwa tamaa zake za kumfurahisha Mgogo wake leo inaligharimu Taifa na watu wake!
Mkapa alithubutu kibusara kwa kulipeleka Bunge nako hapakuchangamka.
Jakaya alijaribu kupeleka Udom nako hapakuchangamka.
Dodoma ipo kuzalisha Omba omba tu na Wagonjwa wa Macho Nyerere kwa utashi wake kaigeuza Washington ya Tanzania ikamshinda

Nakupenda Bure! Maneno yako yanaingia mpaka kwenye mifupa!
 
Sio kwamba wako Dodoma tayari mbona mke wa rafiki yangu ana wiki mbili sasa akiwa huko akidai kuwa makao makuu ya wizara yao yako sijui alisema area D au wakware washamuiba nini?
Ni sahihi wapo waliokwisha kwenda dodoma na kazi walikwisha ziendeleza.
 
Hilo linafahamika na ndio maana wameamua kuweka kamati ili kubaini hayo yote kisha kuyafanyia ufumbuzi. Tusiwe wepesi kuweka sababu ilimradi ionekane haiwezekani wakati swala hilo linawezekana.
time will tell
 
Serikali ya mwendo kasi hii maneno mengi yasiyo na utekelezaji.kila kukicha vipaumbele vinabadilika.
Ni vyema ikiisha pita mwaka mmoja ndio useme hayo maneno kwa kile utakacho kiona kiliongelewa kifanyiwe kazi kisha hakija fanyiwa kazi kwa % lakini sio jambo liongelewe ndani ya mwezi unaanza kusema hivyo.
 
Julius Nyerere tangu aazimie kuhamia Dodoma 1966 na kupitisha Azimio la Bunge 1973 mpaka anaondoka Madarakani 1985 hakuweza kuhamisha hata Wizara moja. Aliwahi kujaribu kuhamisha Wizara ya Mambo ya Nje lakini alipopelekewa Mchanganuo wa Bajeti yake aliufyata.
Kigezo pekee cha kupanga Dodoma kuwa Makao Makuu ilikuwa ukati kati wake pekee hawakutazama Ujangwa wala kupitiwa kwake na Bonde la Ufa ambacho ni kikwazo kikuu kwa ujenzi Mkubwa mkubwa.
Kwa Hili Magu kaharakisha kama alivyokurupuka MwlNyerere.
Angalau Mzee Mwinyi alijaribu kuukuza Mji wa Dodoma kwa kuifanya kuwa Tax havens ambapo ukiwekeza na kuzalisha Dodoma unalipa nusu ya kodi na hata utility ya Umeme na maji iliazimiwa ilipwe nusu bei japo utekelezaji wake nao haukufanikiwa.
Haikuandikwa Mbinguni kuwa Dodoma ni Makao Makuu ya Tanzania, ni utashi tu wa Mtu mmoja kwa tamaa zake za kumfurahisha Mgogo wake leo inaligharimu Taifa na watu wake!
Mkapa alithubutu kibusara kwa kulipeleka Bunge nako hapakuchangamka.
Jakaya alijaribu kupeleka Udom nako hapakuchangamka.
Dodoma ipo kuzalisha Omba omba tu na Wagonjwa wa Macho Nyerere kwa utashi wake kaigeuza Washington ya Tanzania ikamshinda
Umeanza vizur mwishoni umeharibu kila kitu mkuu, yanini kutoa maneno ya kashfa kama hayo ndugu yangu.. Ina maana watu wote wa dodoma hakuna hata mzima mmoja, wote ni "empty set"
 
Julius Nyerere tangu aazimie kuhamia Dodoma 1966 na kupitisha Azimio la Bunge 1973 mpaka anaondoka Madarakani 1985 hakuweza kuhamisha hata Wizara moja. Aliwahi kujaribu kuhamisha Wizara ya Mambo ya Nje lakini alipopelekewa Mchanganuo wa Bajeti yake aliufyata.
Kigezo pekee cha kupanga Dodoma kuwa Makao Makuu ilikuwa ukati kati wake pekee hawakutazama Ujangwa wala kupitiwa kwake na Bonde la Ufa ambacho ni kikwazo kikuu kwa ujenzi Mkubwa mkubwa.
Kwa Hili Magu kaharakisha kama alivyokurupuka MwlNyerere.
Angalau Mzee Mwinyi alijaribu kuukuza Mji wa Dodoma kwa kuifanya kuwa Tax havens ambapo ukiwekeza na kuzalisha Dodoma unalipa nusu ya kodi na hata utility ya Umeme na maji iliazimiwa ilipwe nusu bei japo utekelezaji wake nao haukufanikiwa.
Haikuandikwa Mbinguni kuwa Dodoma ni Makao Makuu ya Tanzania, ni utashi tu wa Mtu mmoja kwa tamaa zake za kumfurahisha Mgogo wake leo inaligharimu Taifa na watu wake!
Mkapa alithubutu kibusara kwa kulipeleka Bunge nako hapakuchangamka.
Jakaya alijaribu kupeleka Udom nako hapakuchangamka.
Dodoma ipo kuzalisha Omba omba tu na Wagonjwa wa Macho Nyerere kwa utashi wake kaigeuza Washington ya Tanzania ikamshinda
keIele mingi ...... whether you like it or not serekali hii lazima ihamie Dodoma mwezi wa 9
 
Back
Top Bottom