Maswali muhimu kuhusu serikali kuhamia Dodoma

Maswali muhimu kuhusu serikali kuhamia Dodoma

serikali ya matamko na mihemko ya hali ya juu kama kimbunga cha Katrina alafu wanaishia kupoa kama maji ya swimming pool.
 
Baada ya Rais magufuli kutangaza serikali kuhamia Dodoma, kuna mawaziri walisema wiki inayofuata watakuwa tayari wameshahamia akiwemo waziri wa kilimo. Lakini nashangaa hadi leo mawaziri hao nakutana nao mitaani hapa jiji.

Hivi walijua kuhama ni kazi rahisi ati eee? Au walizungumza vile ili kunogesha genge.
Acha unafiki wewe. Waziri wa Kilimo yuko Mwanza, we unapishana nae Dar es Salaam? Au ukitaka kila siku watangaze kuhamia Dodoma? Hawatafuti kiki kama UKAWA maana bila kuongelewa watu watasahau UKUTA kabla ya tarehe.
 
Hufanyi kazi serikalini ndio maana wadhani hakuna kinachoendelea
 
Acha unafiki wewe. Waziri wa Kilimo yuko Mwanza, we unapishana nae Dar es Salaam? Au ukitaka kila siku watangaze kuhamia Dodoma? Hawatafuti kiki kama UKAWA maana bila kuongelewa watu watasahau UKUTA kabla ya tarehe.
Huu mchezo hauhitaji hasira,Unajua maana ya neno unafiki?
Ok najua tizeba yupo mwanza anashughulikia masuala ya uvuvi,but ofisi yake bado ipo Dar.Yeye alikuwa wa kwanza kupata kiki kwenye vyombo vya habari kuwa atakuwa wa kwanza kuhamia Dodoma. Alijua kuhamisha ni yeye na naibu wake kupanda gari kwenda Dodoma..
Duniani kote hamna serikali iliyohisha makao makuu kwa muda wa mwaka mmoja.
Yangu macho,nione tunakoelekea
 
Uamuzi wa serikali kuhamia dodoma ulikuwa wa kukurupuka
 
Wamegundua kwamba huwezi kuhamia Dodoma bila kuwa na hata senti moja ya kufanyia hivyo na pia Dodoma hakuna nafasi ya kutosha kwa Wafanyakazi wote wa Serikali kutoka Dar, na Wafanyakazi wa Serikali ambao wanatakiwa wahame ni lazima walipwe pesa chungu nzima za kuhamisha vifaa vyao mbali mbali vya majumbani na pia nauli kwa familia za wahusika. Serikali haina pesa dikteta uchwara kama kawaida yake ALIKURUPUKA.

Mpaka sheria ipite ya kulifanyq dodoma kwa jiji la sirikali
 
Sababu za kuhamia Dodoma hakuna, sababu za Mwal. Nyerere za miaka 50 ndio unaaply leo, baadhi ya wafanyakazi wameanza kuhamia lakini kwa shida sana. Vyumba dodoma laki 5 chenye starndad ya kuish na familia mshahara laki tano, bila safari, pesa za uhamisho hakuna. Watalipwa baadae. Ni taabu tupu. Sababu inayotolewa ni ya mwaka hamsini.
 
Sugu alipowaambia wanatenda kwa "mzuka" wa rais hawakumuelewa!!!
 
Back
Top Bottom