Maswali muhimu kuhusu serikali kuhamia Dodoma

Maswali muhimu kuhusu serikali kuhamia Dodoma

Ngoja tumalizane na UKUTA tuone hela itakayobaki ndo tuwape wahamie Dodoma
 
Baada ya Rais magufuli kutangaza serikali kuhamia Dodoma, kuna mawaziri walisema wiki inayofuata watakuwa tayari wameshahamia akiwemo waziri wa kilimo. Lakini nashangaa hadi leo mawaziri hao nakutana nao mitaani hapa jiji.

Hivi walijua kuhama ni kazi rahisi ati eee? Au walizungumza vile ili kunogesha genge.
Hilo litapita kama yalivyopita mengine
 
......aliambiwa ukitaka kuwachota focus hawa watanzania anzisha kitu hata cha uongo....watahamia huko wote na kuacha mambo ya msingi wanayodai!! Sasa wakazusha hilo la dodoma ili ukuta na dikteta uchwara liishie hewani!! Watanzania wenyewe kama ndio hawa w leo!!! Basi wamefeli! Wanakomaa na mambo yote kwa mpigo! Akija babu n kikombe wataenda ila hawaachiii.....mengine hewani
Baada ya Rais magufuli kutangaza serikali kuhamia Dodoma, kuna mawaziri walisema wiki inayofuata watakuwa tayari wameshahamia akiwemo waziri wa kilimo. Lakini nashangaa hadi leo mawaziri hao nakutana nao mitaani hapa jiji.

Hivi walijua kuhama ni kazi rahisi ati eee? Au walizungumza vile ili kunogesha genge.
 
Hapa Dodoma mitaa ya Kikuyu naona ndio wanaanza kukarabati nyumba za National Housing.Kwa nje naona wanaanza kuzipaka rangi
 
Mwendokasi kama kawa. Wao ni kutaja taja mambo tu halafu utekelezaji Sifuri.
 
Kwani kama kumbukumbu zangu ziko sahihi mkuu wa mkoa huo alisema wasije sasa hivi mana hata yeye wamemkurupua, hahaa hhaha dah wajua waweza tengeneza bomu afu likaanza na wew!
 
AISEEE HILO TUMUACHIE MAGU . NA SERIKALI YAKE...MUDA MWINGINE NI KAMA ANAKURUPUKA...VILE.
 
AISEEE HILO TUMUACHIE MAGU . NA SERIKALI YAKE...MUDA MWINGINE NI KAMA ANAKURUPUKA...VILE.
Tukifungiwa kwa kudhihaki kama hapo juu tutasema tumeonewa na kulaumu kuwa tunanyimwa nafasi ya kutukana watu.
 
Back
Top Bottom