You have a point!Jasusi, hizo pesa ndio zimefanya Meya wa Jiji la Mwanza (Chadema) kupigwa chini kwa ufisadi...ebu tuambie sheria za Jiji zinatungwa na nani?
You have a point!Jasusi, hizo pesa ndio zimefanya Meya wa Jiji la Mwanza (Chadema) kupigwa chini kwa ufisadi...ebu tuambie sheria za Jiji zinatungwa na nani?
Jadili ya wezi wenzako CCM na mikakati yenu ya kifedhuri ya kuwakandamiza watanzania kwa masilahi yenu!