Maswali 20 kwa Mungu

lakini kumbuka ni maandiko hayohayo yalitumika kusaidia ku "abolish" slave trade in Afrika kama kweli ulisoma history utakua umenielewa.

Mkuu slave trade was abolished because slavery was uneconomical anymore following industrialization. Ownership of slaves became more expensive than owning machinery and less efficient so missionaries pretended that they helped end slave trade and colonialism but it was actually a business decision.

Akili ya kusoma, changanya na ya kufikiria mkuu.
 

Kwa hiyo mkuu, unataka kusema kwamba maji yote yaliyopo kwenye mawingu leo hii yakishuka yanatosha kuifunika dunia nzima by more than 7000 metres (kilele cha mlima Everest, maana imeandikwa vilele vyote vilifunikwa)? Unajua ni mita ngapi za ujazo zinahitajika kufikia hapo? mkuu hata kama ukievaporate maji yote ya kwenye water tables zote (maziwa na bahari usiyaguse kwa sababu lazima yawe part ya mafuriko) bado maji hayatoshi kufanya dunia nzima ifurike kama ilivyoelezwa kwenye biblia.

Na hata kama ukiforce evaporation hivyo, bado maji uliyoyatoa kwenye water table yatarudi kwenye water table. kimantiki story ya gharika haiingii akilini mkuu, labda uniambie kwa namna nyingine.
 
Mkuu huku jf kuna watumishi wake, so I hope watatupa majibu.
Nilitaka nikujibu maswali yako lakini nashuhudiwa niache kwa sasa nisije nikainajisi nafsi yangu. Chamiton pole sana kwa wakati unaopitia.

Swali langu kwako "je udongo unaweza ukamwuliza mfinyanzi kwa nini unanifinyanga hivi na siyo vile?"
 
Najibu swali lako la 11:

Ni kwamba wakati MUNGU anaumba dunia aliwatuma malaika waende pande za kila ya dunia na kuleta udongo.

Kwahiyo watu weusi tumetokana na udongo mweusi
 
Nilitaka nikujibu maswali yako lakini nashuhudiwa niache kwa sasa nisije nikainajisi nafsi yangu.Chamiton pole sana kwa wakati unaopitia.Swali langu kwako "je udongo unaweza ukamwuliza mfinyanzi kwa nini unanifinyanga hivi na siyo vile?"
Acha kuuliza traditional questions, maswali toka karne ya kwanza yadi leo mnakaririsha??? kama huna majibu subiri wapo wanaojua....lol pole kwa wakati naopitia??? wakati gani huo???
 
najibu swali lako la 11:

Ni kwamba wakati MUNGU anaumba dunia aliwatuma malaika waende pande za kila ya dunia na kuleta udongo.

Kwahiyo watu weusi tumetokana na udongo mweusi
Mungu alitumia udongo wa aina moja tu kumfinyanga Adam so hakutengeneza watu wengi!!! watu wote wakatokana na Adam...je kwanini kuna rangi mbalimbali???
 
Acha kuuliza traditional questions, maswali toka karne ya kwanza yadi leo mnakaririsha??? kama huna majibu subiri wapo wanaojua....lol pole kwa wakati naopitia??? wakati gani huo???
Mkuu hata haya maswali unayouliza hapa yalishaulizwa wewe si wa kwanza ,kwani kwenye yale makosa 10 ya Mungu ni wewe au umechukua online aliainisha profesa mmoja?

Je udongo unaweza kumwuliza mfinyanzi kwa nini unanifinyanga hivi na siyo vile?Jibu hili swali mkuu, mimi nimnekuuluza moja tu wewe umeuliza 20 kabla sijakujibu yako 20 nahitaji jibu la swali langu mmoja.
 
Yale makosa 10 hamna copy hata moja...ni mambo niliyofikiri yakagoma kuingia akilini...BTW mimi kutoa kitu haimanishi kwamba nimekopi hata kama kuna mtu aliwahi kuuliza...mbona USA na URUSI wanatengeneza slaa kali je nani aliyekopi kwa mwenzake?

Its just a matter of distance, udongo hauwezi kumwuliza mfinyanzi kwa sababu udongo ni irrational non-living things. Unapo fanya comparison tumia vitu vinavyo fanana, binadamu na udongo tunatofauti kubwa sana.
 
Mh! maneno mazito haya
 
Dah! haya mambo haya!!!
 
Mh! maneno mazito haya
mzungu alichofanya ni sawasawa na mtu anaemuua mzazi wako angali wewe bado mdogo, halafu anakuchukua na kukulea kama mwanae, anakufundisha kusoma kuandika kuwinda na kusali kwa mungu anaemwamini yeye.

Mwisho wa siku unakuja kujua kwamba huyo unaemdhania ni baba sio mzee wako, mzee wako alishauliwa na huyohuyo aliekukuza mpaka umekua mtu mzima..

halafu mwisho wa siku badala ya kushtuka kwa kufanywa zumbukuku, unasema aah acha tu yapite huyu mzee kanilea na kunifundisha vitu vingi sana ninampenda..

unashindwa hata kuhoji kwanini huyo mzee alimuua babako? hivi we una akili kweli?
 
1.MUNGU in mwanaume,amesema hivyo throughout the bible....ndo mana tukisali tunasema "baba yetu ulie mbinguni"
 
Mungu hayupo , God is yourself depending on how to use your power within your mind only (watu watakuona mchawi but not)
Yupo na amaishi,Manabii wa zamani baadhi wamemuona...wewe jipe matumaini ya mwendokasi alafu siku ukutane nae kule mbinguni,utaisoma namba siku hiyo.
 
Yupo na amaishi,Manabii wa zamani baadhi wamemuona...wewe jipe matumaini ya mwendokasi alafu siku ukutane nae kule mbinguni,utaisoma namba siku hiyo.
Ahah! unazani namuogopa Mungu wako? and soon hako kamungu Tutakachinja kafe! kabisa ! Atomic bomb zipo ! hapo hachomoki!
 
Pole sana hiyo jeuri ya kumuuliza Mungu maswali umeitoa wapi? Hiyo pumzi unayovuta ndiyo inakupa kibuli? Nakushauri ukatubu na kuomba msamaha.
 
Ahah! unazani namuogopa Mungu wako? and soon hako kamungu Tutakachinja kafe! kabisa ! Atomic bomb zipo ! hapo hachomoki!
Mkuu to be honest hii post imenitoa mbavu nje...Hahahaa kwamba kuna atomic bombs??? loh!!! atomic bombs plus poison weapons kwakweli ana kazi.
 
Mkuu to be honest hii post imenitoa mbavu nje...Hahahaa kwamba kuna atomic bombs??? loh!!! atomic bombs plus poison weapons kwakweli ana kazi.
Hahahahaaa!!! Free mind never fear God & Satan
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…