Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,264
"...AKILI ZA MUNGU HAZICHUNGUZIKI.."
Ulijuaje mungu kama ana akili?
"...AKILI ZA MUNGU HAZICHUNGUZIKI.."
Nime quote kwenye Bible, by theway siko interested kupingana na mnaompinga Mungu maana niko busy kidogo na wanaomcha. Karibu kwenye ibada
lakini kumbuka ni maandiko hayohayo yalitumika kusaidia ku "abolish" slave trade in Afrika kama kweli ulisoma history utakua umenielewa.
JIBU NO 4 NA 5
4;Huku mbinguni hakuna KUOA /KUOLEWA URAFIKI/VIJIWE VYA STORI hivyo kaa ukijua maisha ya huko duniani ni tofauti kabisa na Mbinguni
5;maji yale baada ya gharika yalirudi yalipo toka kwani hayakuletwa kutoka katika sayari zingine namaanisha ya ardhini yalirudi "water table" yaliyo yeyuka yalirudi kuganda "snow , ice" vivyo hivyo kwa mawingu kikubwa zaidi Hydrogen na Oxygen zilitengana ili isiform water H2O. hivyo ndivyo maji yalirudi.
Nilitaka nikujibu maswali yako lakini nashuhudiwa niache kwa sasa nisije nikainajisi nafsi yangu. Chamiton pole sana kwa wakati unaopitia.Mkuu huku jf kuna watumishi wake, so I hope watatupa majibu.
Acha kuuliza traditional questions, maswali toka karne ya kwanza yadi leo mnakaririsha??? kama huna majibu subiri wapo wanaojua....lol pole kwa wakati naopitia??? wakati gani huo???Nilitaka nikujibu maswali yako lakini nashuhudiwa niache kwa sasa nisije nikainajisi nafsi yangu.Chamiton pole sana kwa wakati unaopitia.Swali langu kwako "je udongo unaweza ukamwuliza mfinyanzi kwa nini unanifinyanga hivi na siyo vile?"
Mungu alitumia udongo wa aina moja tu kumfinyanga Adam so hakutengeneza watu wengi!!! watu wote wakatokana na Adam...je kwanini kuna rangi mbalimbali???najibu swali lako la 11:
Ni kwamba wakati MUNGU anaumba dunia aliwatuma malaika waende pande za kila ya dunia na kuleta udongo.
Kwahiyo watu weusi tumetokana na udongo mweusi
Mkuu hata haya maswali unayouliza hapa yalishaulizwa wewe si wa kwanza ,kwani kwenye yale makosa 10 ya Mungu ni wewe au umechukua online aliainisha profesa mmoja?Acha kuuliza traditional questions, maswali toka karne ya kwanza yadi leo mnakaririsha??? kama huna majibu subiri wapo wanaojua....lol pole kwa wakati naopitia??? wakati gani huo???
Yale makosa 10 hamna copy hata moja...ni mambo niliyofikiri yakagoma kuingia akilini...BTW mimi kutoa kitu haimanishi kwamba nimekopi hata kama kuna mtu aliwahi kuuliza...mbona USA na URUSI wanatengeneza slaa kali je nani aliyekopi kwa mwenzake?Mkuu hata haya maswali unayouliza hapa yalishaulizwa wewe si wa kwanza ,kwani kwenye yale makosa 10 ya Mungu ni wewe au umechukua online aliainisha profesa mmoja?
Je udongo unaweza kumwuliza mfinyanzi kwa nini unanifinyanga hivi na siyo vile?Jibu hili swali mkuu,mimi nimnekuuluza moja tu wewe umeuliza 20 kabla sijakujibu yako 20 nahitaji jibu la swali langu mmoja.
Mh! maneno mazito hayaNimefocus zaidi kwenye SLAVERY. Biblia iliandikwa na watu wenye ufahamu wa hali ya juu.. na ilikua imeandikwa ili kutekeleza mikakati ya muda mrefu sana.. haya maisha yote tunayoishi watu walishapanga miaka na miaka kwamba itakuwa hivi.. na ndo maana kila kinachotokea sasa kimeandikwa kwenye biblia, watu wanasema ni mwisho wa dunia umefika, hapana, ni mipango ile ilishapangwa.. ndo maana hata maneno yanayohusu utumwa yameandikwa kwenye biblia.. walijua wanachokuja kukifanya baadae.. Ngumu kuelewa ila jitahidi tu hivyohivyo
Dah! haya mambo haya!!!MASWALI MENGINE YA KUJIULIZA..
kabla ya wazungu kuja babu zetu walikua hawamjui Mungu? ina maana wote wapo motoni? na wachina wahindi waarabu na wajapan ambao hawamjui yesu wataenda motoni? sisi waafrika na wazungu ndo tutaenda mbinguni? yani mtu na mbaguzi wake wanaenda kuishi mbingu moja!!!??
Tusiwe wapumbavu kiasi hiki.
mzungu alichofanya ni sawasawa na mtu anaemuua mzazi wako angali wewe bado mdogo, halafu anakuchukua na kukulea kama mwanae, anakufundisha kusoma kuandika kuwinda na kusali kwa mungu anaemwamini yeye.Mh! maneno mazito haya
1.MUNGU in mwanaume,amesema hivyo throughout the bible....ndo mana tukisali tunasema "baba yetu ulie mbinguni"1.Mungu kama ulimwumba kila mtu kwa mfano wako, je wewe ni mwamaume au mwanamke?
2.Mtu akiugua, aende hospitalini kupewa tiba au akafanyiwe maombi? Na akifanya vyote, kipi kitasaidia zaidi?
3.Mungu wakati unamwumba mwanaume uliweka govi, hukujua ni najisi? mbona unasema likwatwe? huko siyo kuediti uumbaji wako?
4.Watakaoingia mbinguni, watafurahi vipi kama ndugu zao wawapendao watakuwa jehanamu?
5.Baada ya gharika ya Nuhu, maji ya mafuriko yalielekea wapi??? Kwa sababu kila mahali palijaa maji.
6.Kwanini ulichelewa kumwumba mwanamke ilihali ulimuumba mwanaume na uhitaji wa mwanamke? Nadhani hapo ndo chanzo cha kujichua.
7.Mungu kwanini uliumba bangi? ni ya kazi gani? Mbona watu wako wanaipinga sana?
8.Mungu kama wewe ni mpangaji wa maisha yetu, kwanini tukusumbue kwa sala?
9.Mbona watu wema wanapatwa na mabaya? Si uliahidi mema ya nchi kwa watenda mema?
10.Kama watu wote ni uzao wa Adam na Eva, mbona tunatofautiana sana...nini chanzo cha kuwepo kwa watu weupe na weusi?
11.Mungu mbona kwenye maandiko yako umechochea sana utumwa(slavery)? kwani tukiishi kwa usawa haikupendezi?
12.Mungu una urafiki na shetani? mbona mnakutana mara kwa mara na kupiga stori( Ayubu 1:6-12)
14.Kwanini ulimtese Ayubu kwa lengo la kuridhisha matakwa shetani?
15.Mungu mbona ulimpa Musa amri ya usiue lakini ukampa maagizo ya kuua...Mungu hadi leo pale middle east wanauana.
16.Mungu kwa kuwa ulisema tupumzike siku ya 7, mbona watu wanatembea umbali mrefu kutafuata majumba ya ibada na wengine wanatumia hiyo siku ya 7 kupata pesa kwa njia ya sadaka? kwanini tusibaki nyumbani tupumzike?
17.Baada ya Kaini kumua Abeli ulimuuliza Kaini ndugu yako yupo wapi, hivi ni kweli hukujua alipokua Abeli?
18.Mungu kama unalounganisha hakuna awezae kulitenganisha, mbona ndoa zinavunjika?
19.Mungu hivi Suleiman ndiye aliyekuwa na hekima kuliko wote? mbona alifanya mambo kuntu sana? Wanawake 1000 siyo mchezo...au polygamism ndio hekima yenyewe?
20.Mungu kwanini ulimpa Hitler roho mabaya kiasi kile? yaani alichokifanya humu duniani we acha tu.
Naamini kuna watumishi wa Mungu huku jf, kwahiyo ningepende wanisaidie majibu ya haya maswali...nimeuliza siyo ayajibu Mungu bali watu wenye uelewa na haya mambo...Kama mtu huna jibu kuwa mvumilivu maana wapo wenye ufahamu wa kutosha na siyo kulaani, kuhukumu na kuniona kana kwamba nimepotea...Muhimu zaidi jibu la uongo halitakiwi...pia kama jibu lina utata nitauliza.Karibuni kwa majadiliano yenye nia ya kueleweshana
Yupo na amaishi,Manabii wa zamani baadhi wamemuona...wewe jipe matumaini ya mwendokasi alafu siku ukutane nae kule mbinguni,utaisoma namba siku hiyo.Mungu hayupo , God is yourself depending on how to use your power within your mind only (watu watakuona mchawi but not)
Ahah! unazani namuogopa Mungu wako? and soon hako kamungu Tutakachinja kafe! kabisa ! Atomic bomb zipo ! hapo hachomoki!Yupo na amaishi,Manabii wa zamani baadhi wamemuona...wewe jipe matumaini ya mwendokasi alafu siku ukutane nae kule mbinguni,utaisoma namba siku hiyo.
Mkuu to be honest hii post imenitoa mbavu nje...Hahahaa kwamba kuna atomic bombs??? loh!!! atomic bombs plus poison weapons kwakweli ana kazi.Ahah! unazani namuogopa Mungu wako? and soon hako kamungu Tutakachinja kafe! kabisa ! Atomic bomb zipo ! hapo hachomoki!
Hahahahaaa!!! Free mind never fear God & SatanMkuu to be honest hii post imenitoa mbavu nje...Hahahaa kwamba kuna atomic bombs??? loh!!! atomic bombs plus poison weapons kwakweli ana kazi.