Ah! Kumbe na wewe una imani hizo!
Sasa asili ya hiyo power inatoka wapi? Na unadhani ukosefu wa hiyo power ndio sababu tosha ya watu kuamini uwepo wa Mungu?
Mambo ya kuwa na imani ya kishetani au majini niliacha kuyakubali miaka 10 iliyopita kwa sasa sina muda kuyakubali vitu kama hivyo
Kilichobaki ni kuwasaidia ndugu zetu waliokuwa katika ulimwengu huo awe baba au mama au ndugu yoyote au jirani au mtu yoyote awe muislam au kristo au mmajusi
Hiyo power ili kuweza kuielewa ni lazima uzijue hizo level nilizokutajia hapo juu na si lazima uzikariri kama zilivyo cha msingi ni kutafuta elim kwa wanaojua wawe waganga au sheikh au mchungaji au wasoma nyota au philosopher au mtu yoyote mwenye uelewa
Tz Mbongo jitahidi kusoma elimu mbalimbali kama unataka kuelewa habari kwa kuna usikae katika box moja katka elim
Tz IQRAA Tz IQRAA
Mwenzako muhammad alikuwa anabisha kama wewe akafunga zake safari mpaka ktk Jabal Hiraa akakaa huko akikesha usiku na mchana kwakuwa alikuwa ktk utulivu akili yake ikaanza kutoka ktk level ya kawaida ikawa inapanda ikafika level za juu akaanza kwenda katika ulimwengu mwingine wa spritual mara akaona kama vitu vinakuja mwenyewe anasema alikuwa malaika Jibril akawa anambana anamwambia soma " muhammad anakataaa akabinywa mbavu binyuuu soma" muhamad anakataa mwisho akakubali akaambiwa IQRAA BISMI RABBIKA LLADHIY KHALAQ ile kuachiwa aliitoka mbio hizo
Alipofika nyumbani kwake akawa anamuambia khadija Zammilun Zammilun yaan nifunikeni nifunikeni ile ajamaliza Zile ndoto zikarudi tena akawa kama anamuona tena jibril akawaa anamuambia YAA AYUHAL MUDATHIRI.KUM FAANDIRI.WARABAKA FAKABBIR
Kwanini nimekutolea kisa cha muhammad ili ujifunze mambo mawili:-
Jambo la kwanza penda kujifunza sana maana huyo muhammad aliambiwa asome wakati alipokuwa anatoka katika ulimwengu wa kawaida kwenda kwenye spritual world akili yake ilikuwa imefika katka mind bridge ndio maana akaona aliyoyaaona na tena yakamlazisha kusoma na ww unatakiwa usome ili umuige mtume wako LAQADE KAANA LAKUM FII RASULILLAH USWATUN HASANA" Hakika mnacho kiigizo chema kwa mtume" yaan waislam wamuige mtume mambo yake
Na jambo la pili hizo level za ulimwengu zipo wala usibishe na kama huzijui basi ujue ww ndio huzifaham ndio maana muhammad alipoenda ktk lile pango baada kutafakari sana akili yake ikaruka ikaenda ktk spritual world akakutana vitu naye akaogopa
Ni muda na ww wa kuanza kufanyia kazi elimu ziliopo ktk kichwa chako sio ziwe theory bali practical ukifanya hivyo utaona na kujua mengi