Maswali 20 kwa Mungu

Maswali 20 kwa Mungu

Mungu alitumia uroho wa wazungu ili waje africa na hiyo ndo gia ya mungu kuingiza habari njema (ukristo ) lasivyo kusingekua na chakumleta mzungu Africa hivyo na mungu au kristu tusingelimjua. Kwakifupi. Ukoloni ndio ulileta ukristo na si ukristo ulioleta ukoloni
 
Hayo maswali sio saizi ya Mungu,ni maduchu sana.

Tafuta majibu yake humuhumu duniani na utayapata.

Keep an open mind na ufikirie mara mbilimbili na kuchambua utakapopewa majibu,sio unaanza kuyapinga majibu yenyewe.
KWELI kabisa maswali yake yote yanajibika vizuri tu,

Apate mtu mwenye HEKIMA na nguvu za Mungu ndani ya mtu Huyo atajibiwa yote
 
Mwanadamu asiyeweza hata kuvuta pumzi moja Kwa uwezo wake ni nani hata amuulize Muumba Wa ulimwengu maswali ya kipumbavu kama anamwuliza mwanadamu mwenzake,hukusoma jinsi alivyoiangamiza sodoma na gomora na jinc alivyoliangusha jeshi LA farao lenye nguvu katika Bahati nyekundu?? Naandika huku nasisimka maana hata kuzitazama mbingu zake naogopa--- muogope Mungu na kumpa utukufu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo tunavuta pumzi kwa uwezo wa nani kama. Sio wetu
 
[QUOTE uid=292576 name="CHAMITON" post=17105195]
11.Mungu mbona kwenye maandiko yako umechochea sana utumwa(slavery)? kwani tukiishi kwa usawa haikupendezi
hili swali lako limenigusa mno.. ukifikiria kwa umakini utajua kwanini wazungu walileta dini ya kikristo.. dini ya kikristo inafundisha kuwa na huruma, kuwa wanyenyekevu, kuwa watu wa kutokuhoji vitu.. wakati wa ukoloni mababu zetu walikua watata sana yaani hawatii mamlaka ya mkoloni, ndo maana wakoloni wakaintroduce huu ukristo kwa waafrika ili wawe na roho ya huruma, wawe wanyenyekevu, yaani kwa kizungu unaweza kusema walitujenga tuwe SUBMISSIVE.

Kwa maana hiyo basi chochote mwafrika alichokua anatendewa na mzungu, mafundisho ya biblia kutoka kwa wamisionari yaliwaelekeza kuwa watu wa kukubali yanayotokea, NDO ULE MSTARI WA BIBLIA UNAOSEMA AKUPIGAE SHAVU LA KUSHOTO, MGEUZIE PIA NA LA KULIA. Kwamba mwisho wa dunia huyo mkoloni ataenda kuchomwa moto.

Kwa maana hiyo basi, neno la Biblia lilikua faraja sana kwa watumwa kwa kuwa neno liliwaambia, hao wakoloni wanaowatesa wana hukumu yao ambayo ni moto wa jehanam.. UNAONA MZUNGU ALIVYO MJANJA?

Sasa tujiulize swali moja, wote tunajua kwamba mzungu ni mbaguzi, anatuita waafrika masokwe, hapohapo anatuletea biblia tuisome tumwabudu Yesu mwisho wa siku twende tukaishi mbinguni.. hvi hawa jamaa kama huku duniani wanatubagua hivi na kutudhihaki, TUNAAMINI KABISA WAMETULETEA YESU ILI TUOKOKE MWISHO WA SIKU TUKAISHI NAO MBINGUNI??? YANI MZUNGU AMBAE MBAGUZI AISHI NA MWAFRIKA YAAN SOKWE, AISHI NAE MBINGUNI?

TAFAKARI.[/QUOTE]Kwaiyo dini ya kweli Ni ipi..?
 
Mkuu nikupongeze kwa kujibu vyema swali la saba...je tunaruhusiwa kuitumia kwa kuivuta?
Kuhusiana na kuingia peponi kwahiyo kuna watu wataingia peponi kwa migongo ya watu wengine.
Swali la kwanza nimeuliza je Mungu ni KE au ME sijauliza kama alizaa au alizaliwa, rejea swali tafadhali.
Walam yakulahu kufuan ahad "nawala hamfanani na chochote duniani"
 
tatiza kinacho kusumbua wewe ni ukiristo na waisilamu wote tunajua sasa wewe hayo maswali yako kwanza kamuulize aliye kufundisha dini na kama akishindwa njoo pm naapa nitakujibu yote kwa idhni ya mola wangu
Huwa mnawahi kukimbilia huko tuyamalize huku huku
 
Yaani Mmisionari alikua ni Mkoloni yuleyule, ambae alikuja kwa mavazi tofauti, yaani mavazi ya kipadre.. NI SAWA NA CHUI ALIEVAA NGOZI YA KONDOO. Mmisionari na Mkoloni wote lengo lao lilikua moja, kututawala waafrika.. Mkoloni alikua anatawala waafrika, na ardhi yao (PHYSICAL THINGS) na Mmisionari nae alikua anatawala akili za Waafrika (NON-PHYSICAL THINGS)
Sahii kabisa,
Ukiisoma historian yetu Unaweza jikuta unazichukia Sana hizi dini za mkoloni
 
Nimefocus zaidi kwenye SLAVERY. Biblia iliandikwa na watu wenye ufahamu wa hali ya juu.. na ilikua imeandikwa ili kutekeleza mikakati ya muda mrefu sana.. haya maisha yote tunayoishi watu walishapanga miaka na miaka kwamba itakuwa hivi.. na ndo maana kila kinachotokea sasa kimeandikwa kwenye biblia, watu wanasema ni mwisho wa dunia umefika, hapana, ni mipango ile ilishapangwa.. ndo maana hata maneno yanayohusu utumwa yameandikwa kwenye biblia.. walijua wanachokuja kukifanya baadae.. Ngumu kuelewa ila jitahidi tu hivyohivyo
Sahii kabisa,
Walishapanga kututawala, ndo wakaja na stories za Wana wa Israel utumwani
 
1.Mungu kama ulimwumba kila mtu kwa mfano wako, je wewe ni mwamaume au mwanamke?

2.Mtu akiugua, aende hospitalini kupewa tiba au akafanyiwe maombi? Na akifanya vyote, kipi kitasaidia zaidi?

3.Mungu wakati unamwumba mwanaume uliweka govi, hukujua ni najisi? mbona unasema likwatwe? huko siyo kuediti uumbaji wako?

4.Watakaoingia mbinguni, watafurahi vipi kama ndugu zao wawapendao watakuwa jehanamu?

5.Baada ya gharika ya Nuhu, maji ya mafuriko yalielekea wapi??? Kwa sababu kila mahali palijaa maji.

6.Kwanini ulichelewa kumwumba mwanamke ilihali ulimuumba mwanaume na uhitaji wa mwanamke? Nadhani hapo ndo chanzo cha kujichua.

7.Mungu kwanini uliumba bangi? ni ya kazi gani? Mbona watu wako wanaipinga sana?

8.Mungu kama wewe ni mpangaji wa maisha yetu, kwanini tukusumbue kwa sala?

9.Mbona watu wema wanapatwa na mabaya? Si uliahidi mema ya nchi kwa watenda mema?

10.Kama watu wote ni uzao wa Adam na Eva, mbona tunatofautiana sana...nini chanzo cha kuwepo kwa watu weupe na weusi?

11.Mungu mbona kwenye maandiko yako umechochea sana utumwa(slavery)? kwani tukiishi kwa usawa haikupendezi?

12.Mungu una urafiki na shetani? mbona mnakutana mara kwa mara na kupiga stori( Ayubu 1:6-12)

14.Kwanini ulimtese Ayubu kwa lengo la kuridhisha matakwa shetani?

15.Mungu mbona ulimpa Musa amri ya usiue lakini ukampa maagizo ya kuua...Mungu hadi leo pale middle east wanauana.

16.Mungu kwa kuwa ulisema tupumzike siku ya 7, mbona watu wanatembea umbali mrefu kutafuata majumba ya ibada na wengine wanatumia hiyo siku ya 7 kupata pesa kwa njia ya sadaka? kwanini tusibaki nyumbani tupumzike?

17.Baada ya Kaini kumua Abeli ulimuuliza Kaini ndugu yako yupo wapi, hivi ni kweli hukujua alipokua Abeli?

18.Mungu kama unalounganisha hakuna awezae kulitenganisha, mbona ndoa zinavunjika?

19.Mungu hivi Suleiman ndiye aliyekuwa na hekima kuliko wote? mbona alifanya mambo kuntu sana? Wanawake 1000 siyo mchezo...au polygamism ndio hekima yenyewe?

20.Mungu kwanini ulimpa Hitler roho mabaya kiasi kile? yaani alichokifanya humu duniani we acha tu.

Naamini kuna watumishi wa Mungu huku jf, kwahiyo ningepende wanisaidie majibu ya haya maswali...nimeuliza siyo ayajibu Mungu bali watu wenye uelewa na haya mambo...Kama mtu huna jibu kuwa mvumilivu maana wapo wenye ufahamu wa kutosha na siyo kulaani, kuhukumu na kuniona kana kwamba nimepotea...Muhimu zaidi jibu la uongo halitakiwi...pia kama jibu lina utata nitauliza.Karibuni kwa majadiliano yenye nia ya kueleweshana

Naona haya si maswali ya kujibiwa na Mungu, ila kuna viumbe vyake alivyoviumba vitakujibu.
 
Nimefocus zaidi kwenye SLAVERY. Biblia iliandikwa na watu wenye ufahamu wa hali ya juu.. na ilikua imeandikwa ili kutekeleza mikakati ya muda mrefu sana.. haya maisha yote tunayoishi watu walishapanga miaka na miaka kwamba itakuwa hivi.. na ndo maana kila kinachotokea sasa kimeandikwa kwenye biblia, watu wanasema ni mwisho wa dunia umefika, hapana, ni mipango ile ilishapangwa.. ndo maana hata maneno yanayohusu utumwa yameandikwa kwenye biblia.. walijua wanachokuja kukifanya baadae.. Ngumu kuelewa ila jitahidi tu hivyohivyo
Nikweli
 
hili swali lako limenigusa mno.. ukifikiria kwa umakini utajua kwanini wazungu walileta dini ya kikristo.. dini ya kikristo inafundisha kuwa na huruma, kuwa wanyenyekevu, kuwa watu wa kutokuhoji vitu.. wakati wa ukoloni mababu zetu walikua watata sana yaani hawatii mamlaka ya mkoloni, ndo maana wakoloni wakaintroduce huu ukristo kwa waafrika ili wawe na roho ya huruma, wawe wanyenyekevu, yaani kwa kizungu unaweza kusema walitujenga tuwe SUBMISSIVE.

Kwa maana hiyo basi chochote mwafrika alichokua anatendewa na mzungu, mafundisho ya biblia kutoka kwa wamisionari yaliwaelekeza kuwa watu wa kukubali yanayotokea, NDO ULE MSTARI WA BIBLIA UNAOSEMA AKUPIGAE SHAVU LA KUSHOTO, MGEUZIE PIA NA LA KULIA. Kwamba mwisho wa dunia huyo mkoloni ataenda kuchomwa moto.

Kwa maana hiyo basi, neno la Biblia lilikua faraja sana kwa watumwa kwa kuwa neno liliwaambia, hao wakoloni wanaowatesa wana hukumu yao ambayo ni moto wa jehanam.. UNAONA MZUNGU ALIVYO MJANJA?

Sasa tujiulize swali moja, wote tunajua kwamba mzungu ni mbaguzi, anatuita waafrika masokwe, hapohapo anatuletea biblia tuisome tumwabudu Yesu mwisho wa siku twende tukaishi mbinguni.. hvi hawa jamaa kama huku duniani wanatubagua hivi na kutudhihaki, TUNAAMINI KABISA WAMETULETEA YESU ILI TUOKOKE MWISHO WA SIKU TUKAISHI NAO MBINGUNI??? YANI MZUNGU AMBAE MBAGUZI AISHI NA MWAFRIKA YAAN SOKWE, AISHI NAE MBINGUNI?

TAFAKARI.
Kwaiyo dini ya kweli Ni ipi..?[/QUOTE]Dini peleka ng'ombe.
 
1.Mungu kama ulimwumba kila mtu kwa mfano wako, je wewe ni mwamaume au mwanamke?

2.Mtu akiugua, aende hospitalini kupewa tiba au akafanyiwe maombi? Na akifanya vyote, kipi kitasaidia zaidi?

3.Mungu wakati unamwumba mwanaume uliweka govi, hukujua ni najisi? mbona unasema likwatwe? huko siyo kuediti uumbaji wako?

4.Watakaoingia mbinguni, watafurahi vipi kama ndugu zao wawapendao watakuwa jehanamu?

5.Baada ya gharika ya Nuhu, maji ya mafuriko yalielekea wapi??? Kwa sababu kila mahali palijaa maji.

6.Kwanini ulichelewa kumwumba mwanamke ilihali ulimuumba mwanaume na uhitaji wa mwanamke? Nadhani hapo ndo chanzo cha kujichua.

7.Mungu kwanini uliumba bangi? ni ya kazi gani? Mbona watu wako wanaipinga sana?

8.Mungu kama wewe ni mpangaji wa maisha yetu, kwanini tukusumbue kwa sala?

9.Mbona watu wema wanapatwa na mabaya? Si uliahidi mema ya nchi kwa watenda mema?

10.Kama watu wote ni uzao wa Adam na Eva, mbona tunatofautiana sana...nini chanzo cha kuwepo kwa watu weupe na weusi?

11.Mungu mbona kwenye maandiko yako umechochea sana utumwa(slavery)? kwani tukiishi kwa usawa haikupendezi?

12.Mungu una urafiki na shetani? mbona mnakutana mara kwa mara na kupiga stori( Ayubu 1:6-12)

14.Kwanini ulimtese Ayubu kwa lengo la kuridhisha matakwa shetani?

15.Mungu mbona ulimpa Musa amri ya usiue lakini ukampa maagizo ya kuua...Mungu hadi leo pale middle east wanauana.

16.Mungu kwa kuwa ulisema tupumzike siku ya 7, mbona watu wanatembea umbali mrefu kutafuata majumba ya ibada na wengine wanatumia hiyo siku ya 7 kupata pesa kwa njia ya sadaka? kwanini tusibaki nyumbani tupumzike?

17.Baada ya Kaini kumua Abeli ulimuuliza Kaini ndugu yako yupo wapi, hivi ni kweli hukujua alipokua Abeli?

18.Mungu kama unalounganisha hakuna awezae kulitenganisha, mbona ndoa zinavunjika?

19.Mungu hivi Suleiman ndiye aliyekuwa na hekima kuliko wote? mbona alifanya mambo kuntu sana? Wanawake 1000 siyo mchezo...au polygamism ndio hekima yenyewe?

20.Mungu kwanini ulimpa Hitler roho mabaya kiasi kile? yaani alichokifanya humu duniani we acha tu.

Naamini kuna watumishi wa Mungu huku jf, kwahiyo ningepende wanisaidie majibu ya haya maswali...nimeuliza siyo ayajibu Mungu bali watu wenye uelewa na haya mambo...Kama mtu huna jibu kuwa mvumilivu maana wapo wenye ufahamu wa kutosha na siyo kulaani, kuhukumu na kuniona kana kwamba nimepotea...Muhimu zaidi jibu la uongo halitakiwi...pia kama jibu lina utata nitauliza.Karibuni kwa majadiliano yenye nia ya kueleweshana
Wachangiaji wa mada wengi ni MAPEPO kuliko WANADAMU. Kuwa makini.
 
Mwanadamu asiyeweza hata kuvuta pumzi moja Kwa uwezo wake ni nani hata amuulize Muumba Wa ulimwengu maswali ya kipumbavu kama anamwuliza mwanadamu mwenzake,hukusoma jinsi alivyoiangamiza sodoma na gomora na jinc alivyoliangusha jeshi LA farao lenye nguvu katika Bahati nyekundu?? Naandika huku nasisimka maana hata kuzitazama mbingu zake naogopa--- muogope Mungu na kumpa utukufu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbingu zake ziko wapi ili Mimi Nije niziangalie Kama wewe unaogopa
 
1.Mungu ni mwanaume kwa ushahidi wa maandiko ya Biblia. Ndo maana uitwa Baba.
2.Mke wa kwanza wa Adam aliitwa Lilith na sio Hawa. Lilith alitaka kuwa juu ya Adam kupitia kiburi cha shetani. Baada ya Lilith kuvurugana na Adam, Adam akamlilia Mungu ndipo akampatia Hawa/ Eva.

Lilith akaolewa na mmoja wa mashetani, Lilithi alitangaza vita na uzao wa Adam kwa kuhahikisha anazivuruga ndoa, ndio unayo yaona kwenye ndoa SAsa asili ni vita ya asili ya Adam na mkewe wa kwanza Lilith.
 
1.Mungu ni mwanaume kwa ushahidi wa maandiko ya Biblia. Ndo maana uitwa Baba.
2.Mke wa kwanza wa Adam aliitwa Lilith na sio Hawa. Lilith alitaka kuwa juu ya Adam kupitia kiburi cha shetani. Baada ya Lilith kuvurugana na Adam, Adam akamlilia Mungu ndipo akampatia Hawa/ Eva. Lilith akaolewa na mmoja wa mashetani, Lilithi alitangaza vita na uzao wa Adam kwa kuhahikisha anazivuruga ndoa, ndio unayo yaona kwenye ndoa SAsa asili ni vita ya asili ya Adam na mkewe wa kwanza Lilith.
Mtumwa niaje bro.
 
Back
Top Bottom