HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
mweeeeeeeeeeeee, ngoja na mimi leo nijaribu hii ya maji moto. inawezekana ni matata sana lol
Nyie watu muwe makini, haya mambo ya kuiga mtaunguza halafu sijui mtamlilia nani! Alikwambia hayo maji yanatakiwa kuwa sentigredi ngapi wakati wa hilo zoezi? LoL!