Mamii me nikimkuta wala sitaongea kitu nitaomba huduma hiyo pia nifanyiwe na mhudumu wa kiume nayeye aone ,naamini lazma aombe po tukafanyiane nyumbaniSiku nikimkuta Mume wangu anashikwa shikwa sijui ndio massage atajuta ..
Nyambafff starehe za kijinga.
sema hakyamunguMamii me nikimkuta wala sitaongea kitu nitaomba huduma hiyo pia nifanyiwe na mhudumu wa kiume nayeye aone ,naamini lazma aombe po tukafanyiane nyumbani
Kweli ndio mtatulia![]()
![]()
![]()
jaman
Kama na wewe unamfanyia mme wako hivyo Mungu anakuonaKweli ndio mtatulia
Kama na wewe unamfanyia mme wako hivyo Mungu anakuona
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app

huna wivuaaaa aende tu. wacha arukie visivyorukiwa atoke na chu** kichwani.
Usiite starehe za kijinga, wakat ndo zinazotupeleka huko,jaribu kumfanyia mumeo masaji za kimalaya kama atatoka...nakutania cute b dint take it seriousSiku nikimkuta Mume wangu anashikwa shikwa sijui ndio massage atajuta ..
Nyambafff starehe za kijinga.


Unaweza hamia huko kabisa ha hakwa mheshimiwa wajina titanic vingunguti pia kuna huduma nzuri sana halafu wakarimu sana
Hafanyiwi na ole wake aendeUsiite starehe za kijinga, wakat ndo zinazotupeleka huko,jaribu kumfanyia mumeo masaji za kimalaya kama atatoka...nakutania cute b dint take it serious![]()
Ha ha ha inaelekea we mbabe sana hutaki kucheka na kimaHafanyiwi na ole wake aende
Unadhani atakubali. Sembuse ukutwe unachorwa tuu kucha anawaka kama Bomu la nuclear, ndio kupapaswa mashavu dia?Mamii me nikimkuta wala sitaongea kitu nitaomba huduma hiyo pia nifanyiwe na mhudumu wa kiume nayeye aone ,naamini lazma aombe po tukafanyiane nyumbani
Huwa sipendi ujinga mkuuHa ha ha inaelekea we mbabe sana hutaki kucheka na kima