Ni kweli wadhamini wamemgomea baada ya kugundua anawalazimisha washindi wamgawie nusu ya hela ya ushindi.sponsors wamegoma
taarifa hii ni ya kweli?Ni kweli wadhamini wamemgomea baada ya kugundua anawalazimisha washindi wamgawie nusu ya hela ya ushindi.
kipindi cha maisha plus kitakuwepo si kila mwaka ila kila baada ya miaka miwili..........na kitabaki kuwa pale pale TBC
Hata mimi nataka kujua maana naona kimya hatamchakato haujaanza na hii ndo miezi yenyewe.
kimya kirefu kina mshindo mkubwa
ukimuona kobe ameinama ujue anatunga sheria
tumpe muda anaweza kuja kivingine
Ni kweli wadhamini wamemgomea baada ya kugundua anawalazimisha washindi wamgawie nusu ya hela ya ushindi.