KERO Jirani yangu anafungulia majitaka, nifanyeje?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Cheology

JF-Expert Member
Jun 25, 2022
323
502
Nainaishi tegetar maguzo.

Kuna jirani anafungulia maji taka, inavyoelekea choo kimejaa hivyo mvua zinaponyesha hutukua fursa hiyo kuflash choo.

Sikukaa kimya nikamueleza adha inayonikumba. Bahati nzuri naishi peke yangu (chumba, jiko, sebule ndogo na stoo) sometimes nauvuta mwenza wangu mtarajiwa tunabarizi maisha yanakwenda.

Siku moja pamoja na kwamba niliisha mwambia mzibuaji, ni wale vijana wanaokaa kwenye majumba haya ya aidha kwa mjomba..kaka au binamu na kadhalika kwamba angalia mvua zikinyesha siku za working days nakuwa sipo fungulia maji taka lakini ukifungua usiku tumelala, weekends tumepunzika, tunateseka na harufu mbaya. Akaacha, baadae akarudia kuachia maji taka tukiwa ndani.

Nikamshauri atumie oil au mafuta taa, alitumia kidogo baadae mambo yale yale, na sasa nina mpango wa kuongeza familia. Leo ameachia tena mzigo unaonekana umeoza kabisa na harufu inaumiza.

Jamani huu sio ustaarabu...naomba msaada hapa nimejenga kibanda cha kisela. Niende wapi sasa? Japo nimejifunza kitu....Shimo likijaa gari la maji taka ni 180k ni bora kuingia gharama kuliko hii dhambi...naamini hii kero. Majirani wanai feel. Wamenyamaza
 
Nainaishi tegetar maguzo.

Kuna jirani anafungulia maji taka, inavyoelekea choo kimejaa hivyo mvua zinaponyesha huchukua fursa hiyo kuflash choo.

Sikukaa kimya nikamueleza adha inayonikumba. Bahati nzuri naishi peke yangu (chumba, jiko, sebule ndogo na stoo) sometimes nauvuta mchuchu wangu tunabarizi maisha yanakwenda.

Siku moja pamoja na kwamba niliisha mwambia mzibuaji, wale vijana wanaokaa kwenye majumba haya ya aidha mjomba au binamu na kadhalika kwamba angalia mvua zikinyesha siku za working days nakuwa sipo fungulia maji taka lakini ukifungua usuku tumelala, weekends tumepunzika, tunateseka na harufu mbaya. Akaacha, baadae akarudia kuachia maji taka tukiwa ndani.

Nikamshauri atumie oil au mafuta taa, alitumia kidogo baadae mambo yale yale, na sasa nina mpango wa kuongeza familia. Leo ameachia tena mzigo unaonekana umeoza kabisa na harufu inaumiza.

Jamani naomba msaada hapa nimejenga kibanda cha kisela. Niende wapi sasa?
Mripoti kwenye mamlaka husika
 
Wazo nilikua nalo kabla ya kumwelezea asifungulie tukiwepo....nadhani kabla sijamripoti neonane na boss wake..je hii itakuwa sahihi bila shaka
We ukileta upole hapo utabaki kuumia kila siku, we unashindwa kumchukulia hatua mahala husika, hakuna serikali za mtaa? Vitu vingine ukileta masuala ya diplomasia utabaki kulalama.

Viumbe wa namna hio ku deal nao hadi ajute.
 
Mtu kama huyo ni kutafuta vijana kama kumi wany*** mzigo wa kutosha halafu wautupe uwani kwake pwaaaaah...halafu ndo serikali ya mtaa iambiwe tayari ushamkeraa....
 
Kodi watu kumi uwe unawanywesha komoni kisha wawe wanaenda kunya kwake ubaya ubaya tu
 
Nainaishi tegetar maguzo.

Kuna jirani anafungulia maji taka, inavyoelekea choo kimejaa hivyo mvua zinaponyesha hutukua fursa hiyo kuflash choo.

Sikukaa kimya nikamueleza adha inayonikumba. Bahati nzuri naishi peke yangu (chumba, jiko, sebule ndogo na stoo) sometimes nauvuta mwenza wangu mtarajiwa tunabarizi maisha yanakwenda.

Siku moja pamoja na kwamba niliisha mwambia mzibuaji, ni wale vijana wanaokaa kwenye majumba haya ya aidha kwa mjomba..kaka au binamu na kadhalika kwamba angalia mvua zikinyesha siku za working days nakuwa sipo fungulia maji taka lakini ukifungua usiku tumelala, weekends tumepunzika, tunateseka na harufu mbaya. Akaacha, baadae akarudia kuachia maji taka tukiwa ndani.

Nikamshauri atumie oil au mafuta taa, alitumia kidogo baadae mambo yale yale, na sasa nina mpango wa kuongeza familia. Leo ameachia tena mzigo unaonekana umeoza kabisa na harufu inaumiza.

Jamani huu sio ustaarabu...naomba msaada hapa nimejenga kibanda cha kisela. Niende wapi sasa? Japo nimejifunza kitu....Shimo likijaa gari la maji taka ni 180k ni bora kuingia gharama kuliko hii dhambi...naamini hii kero. Majirani wanai feel. Wamenyamaza
Huko unapoishi hakuna serikali?
Elimu na ustaarabu vinaenda pamoja. Huyo jirani yako ni mpumbavu, mpeleke baraza la kata
 
Usitumie nguvu tumia hekima

Anza na kuwapa Elimu wamiliki wa hiyo nyumba , kuwa tunabidi kufanya hivi na hivi.

Usiwafokee wala kuoneshali hali ugomvi tumia busara zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom