Masoud Kipanya na Fina Mango wa Clouds FM

Status
Not open for further replies.
kuhusiana na uhusiano wa hawa wawili kimapenzi sina uhakika nao kwa sana lakini siku za nyumba ilisemekana Fina wa Mango alikua na uhusiano strong na mmoja ya mabosi waao wa juu na kama kuna ukweli kati yake na KP huenda ikawa ndio sababu ya wao kukatishwa mkataba, nani anapenda kuona wafanyakazi wake wanamgeuka hasa ukizingatia swala la mapenzi. Hapa kuna kitu cha msingi cha kuangalia kama hiyo ndio sababu basi hawa watu wenye vyeo vikubwa kwenye maofisi waache uroho kwani matokea ndio kama hivi unachukua uamuzi ambao unaathiri mpaka maslahi yenu binafsi.

Kama kweli waendelee kwani wanapendeza sana pamoja.

Wish them luck.
 
Afadhali kwa taarifa manake bongo waajiri binafsi nao wanatoa kibano sana kwa wazawa. Ni kweli kwamba masudi asiwe na wasi wasi kwamba atashine huko aendako lakini jamii forums inabidi itembelee kucha kwa kutazama sekta binafsi pia kama inavyotazamwa serikali na kukemewa.

Media bongo inapambana zaidi na mafisadi walio serikalini tu! wenyewe ni untouchables wakati kuna madudu kibao katika vyombo vya habari vinavyomilikiwa na wabongo wenyewe. Kama dhamira ni hakuna jiwe litakalo achwa bila kugeuzwa basi zamu ya vyombo vya habari vinavyomilikiwa na wabongo.

Kukosa woga kwa Fina na Masudi kumewacost kama walikuwa na mchango katika vita ya ufisadi, wana jamii forums kama kawaida hakuna kuacha mpiganaji nyuma mpaka kieleweke.
 
Whau!nashukuru Masoud kwakunitoa gizani,kwani mimi ni mmoja wawashabiki wako,ipengine unaweza kuona kwamba nilikuwa najaribu kunusa kwanini hampo tena..
Sasa naanza kwa kusema,Hongera sana kwa uamuzi wa busara ulouchukua kwani umeonyesha ujasiri wa hali ya juu na asikudanganye mtu hiyo ndo njia pekee ya kutoka kimaisha kwani hakuna mtu aliyefanikiwa kimaisha bila kupitia kwenye chalenges zilizosimama kama iliyowakuteni nyie..wewe utaona tu ili mradi usikubali kurudi nyuma.
Pili wewe umeshajijengea jina kubwa so kwa kukaa kimya na bongo yetu hii unavyoifahamu wangezusha maneno mengi mwisho wangeishia kusema umeiba Clouds,Hongere..
Tatu asikudanganye mtu Clouds wivu binafsi umechangia kwani kosa waliolifanya watu wa kurusha matangazo siku hiyo ulinibore sana kisi cha kuwalaumu wewe na phina kuwa mmekuwa mstari wa mbele katika ku"take precautions"ilikuwaje mchemshe na mkijua mnaongea na BAlozi wa Dunia,na nyie mmejitangaza kwa mda kitambo yaani kwa wiki nzima?nikawa nawasubiria mkirudi katika kipindi niwape zenu,,nasikitika sikuwasikia tena.
Nne,Huyo mwenzenu aliyebaki wala msimlaumu kwani binadamu tunatofautina katika kufikri pengine angefuata ushauri wenu hivi sasa angekuwa Dukani kwako akisubiri umpe nauli ya kurudi nyumbani which is not fair na badae ungejilaumu kwa kumshauri.
Tano, asikudanganye mtu "Power Breakfast"imekufa toka siku ile kwani That programme it had nothing to do with Clods Programme rather watu walikuwa wanakisiliza kwa ajili ya MAsoud na Fina jinsi wanavyoonyesha vipaji vyao unless wachange jina kwani wasidhani wataziba Pengo,
tatizo naongea sana kwani nina machungu.CIAo
 
Kwi kwi kwi kwi.
Hivi kama Masoud angewatajia kamshara alikokua anapata pale na Mahela kipindi kinaingiza mbona mngekua mmeshamshauri zamani akazanie kaduka kake pale Millenium Towers!!!!

Masoud mzee we kuwa mjasiriamali tu ndugu yangu haya mamboya kuamka saa kumi usiku na kushia kupata jina hayatufikishi kokote.Kuna Milango huwa inafungwa kwa makusudi ili mbele ifunguke mingine yenye mwanga zaidi.
 
Kitu kimoja alichofanya ambacho mimi nimeona classic ni pale alipoamua kuondoka kutokana na maneno ya barua.Na outlook yake yote ya "kuheshimu matakwa ya mwenye mali". Mimi pia nina mtizamo huu.

Inayumkinika kuwa pengine alikuwa na nafasi ya kisheria kukataa mazingira ya kuachishwa kazi.Wengine wanaweza kusema kuwa kazi yenyewe ilikuwa haina maslahi ya kupiganiwa, lakini kwa kusema wazi kuwa yeye anaheshimu matakwa ya mwenye mali, kauli ambayo watu wa Labor oriented mindset wanaweza kuiona ni complacent. despite the fact that it is different in the private sector compared to public where people feel more entitled to their jobs, kwa kusema wazi kuwa anathamini kauli ya mwenye mali Masudi amejionyesha kuwa a class act ambaye muajiri yoyote hawezi kuwa concerned kuhusu a litigious employee/process.Mimi naamini kuwa mtu unatakiwa kuwa kifaa kiasi kwamba muajiri wako awe anakosa usingizi (figuratively of course,Im not that cruel) kufikiria jinsi ya kuku retain.

One should be so competent so as not to cling to a job, even the suggestion of one not being appreciated should make one reconsider his importance and how one is needed in the place of work.

With that attitude he is armed to win whatever the situation, be it in employment or his private business.

Having said that, naelewa na kuunga mkono maoni ya Songambele hapo juu.Kwamba waajiri binafsi wanaweza kuwa na nguvu sana, hususan kwa sababu vyama vya wafanyakazi havina nguvu na pia kuna hii attitude nzima ya kuona kwamba kufanya kazi ni "privilege", labda kutokana na the dynamics of the labor market back home.

Labor unions are a double edged sword.They are good for protecting workers rights but sometimes they can be too powerful and tend to turn towards being akin to a mafia like cartel, which has the further effect of pouring molasses on the economic mix and sometimes even grinding things to a halt.There needs to be a trade of between organized Labor and business interests.
 
Katika hizi kazi zetu zenye waajiri binafsi serikali imesisitiza mikataba ya hali bora ni lazima,maana kama mwajiri akitiliana saini na wafanyakazi kwenye mkataba wa hali bora,basi hayamambo ya kufukuzana kazi ovyo ovyo ni nadra sana kutokea na hata kama ikitokea mtu kafukuzwa basi afukuzwi hivihivi huwa napata mafao fulani kutokana na mchango wake aliotoa ktk kipindi chote cha utumishi kwa mwajiri,nasema hivi maana sina uhakika kama KP Kapewa chochote mara baada ya kusitishwa mkataba,maana naamini KP ktk utumishi wake pale Clouds ameweza kuiingizia Clouds Mamilion ya fedha kupitia kipaji chake na ubunifu wake binafsi
 
Kuna mambo mazuri ya kujifunzaa....hapo..wangeshakuwa makini b4 kuanza kutafuta vyeti vya uandishi wa habari au hata Inter relation...Public Relation etc..maana walishafikia at their peak withough back up...plans,ningekuwa mimi ningekuwa taratibu natafuta alt na shule ili niweze kujiweka sehemu fulani...maana kumbuka mwenye radio anataka amantain profit....sio kumtain majina ya waajiriwa...ni mtazamo wangu tuu lakini....8yrs sio kidogo kuweza kujiendeleza....kazi kwako "baba Fina"maana utakoma na bills za bibie....najuaa kuna moto mkali sana nyumbani kusema....."mmmm si mmenifukuza kazi..ndio unipe up keeping sasa"najuaa maana bibie anajua sana kuchonga pia.......
 
Fina na Kipanya wanapikika na ni wenye maadili ya kazi.
Fina nilisoma naye darasa moja ni mdfada asiyeogopa kitu na anajua kuusimamia ukweli, pia akili yake huitumia vizuri thus hata vijikashfa vya udaka vimemkosakosa,
Kipanya ni kama kaka yangu kwani tumekua wote pamoja, hii ni mwendelezo wa misukosuko kwani kuna kipindi fulani miaka ya 90 aliwahi kukimbia nchi kutokana na kutishiwa na serikali (mafisadi) kutokana na katuni zake pale majira..... Muulizeni Makilla anafahamu hili kwa sana tu.... Ila naamini hawajapungua kitu kwani still wanayo safari nzuuuuri ya mafanikio.... Nakumbuka hawa jamaa Clouds walimfanyia mbaya jimi kabwe (jumanne kabwela) aliyeanzisha kipindi hiki na hakika kila atakayeng'ara pale ataumbiwa geti la kutoka nje ya ulingo mapema.

Najiuliza mpaka sasa inakuwaje mzee mwenzangu Gadner bado anajishikiza pale wakati anaweza kufanya makubwa zaidi ya hapo alipo????
 

Gadner naye angesoma alama za nyakati mapema,
kwa uwezo na uzoefu alio nao naamini pale hamfai tena ukizingatia mwenendo wa kifedhuli wa Mutahaba&Co. dhidi ya watu wanaong'ara hapo,kwa kuanzia na Jumanne Kabwel na sasa KP&Fina...kaka Gadner ni ushauri tu you have the potential...
 
Masudi kasema mwenyewe kuwa kafukuzwa (dismisal) hajaondoka.
Iweje watu humu ndani wanasema kaondoka?
jf inachoniudhi tu ni pale watu wanapopotosha hoja na hakuna cha kuwafanya, uhuru mwingine bwana? yani humu kuna habari nyingi mno hadi inakuwa ngumu kuchuja zipi pumba, zipi hisia au ukweli ni upi.
freedom without responsibilities.
the stronger your communication skills the truer is your point!!
 
Naomba washokaji tubadilishe TOPIC tunayo mengi yakuongelea,tuachane na habari za Fina NA MAsoud au mnasemaje?Kwanini tusizungumzia Mambo yanayoendelea Bungeni hasa Wabunge Wa CCM kwani wamegundua kwa sasa kusudi uweze kupendwa na wananch wewe watetee bila kujali maslahi,msishangae MAma Kilango afanyi hivi Kwa uchungu bali ni kwa ajili ya kutafuta Umaarufu hawezi kulinganishwa na ZITO au Dr. Slaa a.k.a Silaha...kwani huyu mama nae ukijumulisha na Ufisadi wa mume wake ndo umemfanya awepo hapa ,anachokifanya kwa sasa nikutafuta sifa pamoja na kuwakomoa waliombania mume wake asipate Urahi,kwani Wana JF kama mnakumbuka siku zito ameleta Issue ya KARAMAGI bUNGENI MTU WA KWANZA KUMPINGA ALIKUWA MUME WA Mama Kilango na ndie aliyeshindilia Msumari wa Mwisho wa kumondo Bungeni,sasa iweje mke asimuheshimu mumewe??
 
Kabla hatu wahukumu uongozi wa Clouds pengine tungepata nafasi ya kusikia their side of the story. Isije ikiwa ya muwamba ngoma kuvutia kwake.

Binafsi naamini Kipanya kwa mujibu wa maelezo yake mwenyewe amefanya makosa kwa kugoma kuingia ktk kipindi. Kama hoja ilikuwa ni kuonyesha kuti ridhishwa kwake na ufanisi wa technical department kwenye ku rekodi mahojiano na balozi wa Marekani kuna kulikuwa na njia nyingi tu za kufikisha kilio chao kwa wakubwa wao ili wayafanyie kazi mapungufu hayo. Kitendo cha kugoma ni kitendo cha ukosefu wa ndhamu na ametuangusha sisi washabiki wake kwa kutunyima radha ya kipindi kwa kosa la watu wengine.

Haya ndio matatizo ya hawa upcoming bongo cerebrities wanajiona they are above everybody hata mabosi wao.

Katika hili kijana mwenzetu amchemsha nashangaa tunashindwa kuliona hilo.
 
Habari nilizopata kutoka chanzo kinachoaminika ni mambo ya faranga,kipanya na fina walikuwa wanajua kupia kipindi chao pesa nyingi ilikuwa inaingia kupitia wadhamini mbalimbali wakaomba waboreshewe maslahi na pia mazingira ya kazi yaboreshwe ikiwamo vitendea kazi,ikawa kama vile wamempiga kisu cha roho mukubwa akawapiga karamu haraka sana
 
Halisi,

Waliopo jikoni wametulia......

In short Fina na Masudi wametimuliwa kazi kwa utovu wa nidhamu wa kugoma kuja kazini.

Hayo mengine ni blah blah mnapiga hapa.

FairPlayer
 
nakumbuka siku ya Kill Awards Kipanya alisema yeye anavipaji vingi tu hata kuimba anajua so hawezi kufa njaa mjini hapa naona kilikuwa kijembe kwa aliyekuwa mkubwa wake wa clouds maana alikuwepo siku ile.

Kipindi kinaboa sana siku hizi me nilikuwa napenda sana kuwasikiliza Masoud and FIna yaani walifunika sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom