Yupo Gerald Hando na Paul James...wanaboa haooooooo!!!!! Afadhali kidogo Gerald ana kauzoefu ka kukaa na wale wawili lakini Paulo kama wanavyomuita! Mhhh! Safari pevu!
wanangu fina na kp i wish mngekuwa na uwezo wa kufungua recording studio yenu mkawa mnafanya talk show na kuuza kwenye tv stations,nyingine za kiswahili nyingine za kiingereza.you are so talented,msiache kipaji chenu kika go into waste.lakini yote ni majaliwa,one day yes!
msisifie ujinga.
wangekuwa na vipaji basi mara moja tungewasikia radio za kweli kama deutsche welle au BBC, kama wenzao kina aboubakar lyongo, sekione kitojo na wengine wengi wanaotangaza habari na vipindi vya ukweli na sio hayo makelele na majibizano yao kama kilabuni...
msisifie ujinga.
wangekuwa na vipaji basi mara moja tungewasikia radio za kweli kama deutsche welle au BBC, kama wenzao kina aboubakar lyongo, sekione kitojo na wengine wengi wanaotangaza habari na vipindi vya ukweli na sio hayo makelele na majibizano yao kama kilabuni...
Hapa ndipo tunapokosea sisi wabongo,yaani kuwa na mafanikio mpaka ufike majuu.Na huko BBC na Deutsche welle wanaweza kuwaajili wafanyakazi wangapi kwa pamoja,uongo si kazi vijana kazi wanaiweza kwani kipindi walikuwa wanakimudu.MTAENDELEA KUOTA ULAYA MPAKA MNAINGIA KABURINI na bado mnajiita wazalendo.Yaani kama una uwezo basi utathibitika pale utakapo kwenda kuwatumikia wazungu sio,ila uwezi kufanya hivyo hapa kwenu.SAFARI BADO NI NDEFU
Labda nikuulize unakubali au hukubali kwamba DW na BBC wana viwango vya juu vya utangazaji? Kwenda kufanya kazi BBC hata nchi kama Uk ni heshima kubwa kutokana na kuwa inaheshimika kwa viwango vyake vya juu. Hii habari ya kufurahi mediocrity yetu na kuitukuza ni upuuzi!! Mi nawashauri Kp na Fina warudi shule wajifunze uandishi wa habari vyema na wakajenge a real carrieer siyo radio jockey who run off their mouths in the morning. Personally I think that they are very nice, lakini kama tunataka kuwapa ushauri mzuri tusiwatie ujinga!
Umezungumzia mambo mazuri sana, umetoa mfano wa soka, kwamba vipaji vingi lakini Afrika hatufiki nusu fainali. Sasa ujiulize kwa nini hao akina Drogba wakirudi kuchezea nchi zao bado hawailetei faida?Kuwa na kiwango cha juu cha utangaziji haichangiwi na vipaji peke yake bali mazingira na vitendea kazi ambavyo ndivyo wakina kipanya walichokuwa wanakililia.Hata uwe na kipaji vipi kama mazingira ni mabovu lazima utachemsha.Angalia katika soka,ni vipaji vingapi Africa tulivyonavyo lakini hata nusu fainali hatujawahi kunusa,as a continent.
Unatumia staili gani kufikisha ujumbe ni uamuzi wa mtu,kama watu wote tutasema tuwe tunafikisha ujumbe kwa njia ya kama tunasoma taarifa ya habari hatuwezi kufika rafiki yangu.Swala la kwenda shule silikatai,lakini hoja hapa ilikuwa ni vipaji,wanavyo hawana.Na wala mimi siwatii ujinga ila nyie ndo mnajaribu kuwapotosha,kuwa mafanikio ni mpaka kutangaza BBC,kwa hiyo ukishafika BBC ndo basi na sisi kama watanzania tutakuwa tumefaidika nini kwa kwenda kwake huko BBC?Said Kubenea angeenda kufanya kazi daily mail,angeyafanya aliyoyafanya kwa nchi yake mpaka sasa.Hebu tufikirie ni jinsi gani tutaiendeleza nchi yetu na si kwenda kuendeleza nchi za wenzetu.UZALENDO LINA MAANA PANA.
Labda nikuulize unakubali au hukubali kwamba DW na BBC wana viwango vya juu vya utangazaji? Kwenda kufanya kazi BBC hata nchi kama Uk ni heshima kubwa kutokana na kuwa inaheshimika kwa viwango vyake vya juu. Hii habari ya kufurahi mediocrity yetu na kuitukuza ni upuuzi!! Mi nawashauri Kp na Fina warudi shule wajifunze uandishi wa habari vyema na wakajenge a real carrieer siyo radio jockey who run off their mouths in the morning. Personally I think that they are very nice, lakini kama tunataka kuwapa ushauri mzuri tusiwatie ujinga!
Kuwa na kiwango cha juu cha utangaziji haichangiwi na vipaji peke yake bali mazingira na vitendea kazi ambavyo ndivyo wakina kipanya walichokuwa wanakililia.Hata uwe na kipaji vipi kama mazingira ni mabovu lazima utachemsha.Angalia katika soka,ni vipaji vingapi Africa tulivyonavyo lakini hata nusu fainali hatujawahi kunusa,as a continent.
Unatumia staili gani kufikisha ujumbe ni uamuzi wa mtu,kama watu wote tutasema tuwe tunafikisha ujumbe kwa njia ya kama tunasoma taarifa ya habari hatuwezi kufika rafiki yangu.Swala la kwenda shule silikatai,lakini hoja hapa ilikuwa ni vipaji,wanavyo hawana.Na wala mimi siwatii ujinga ila nyie ndo mnajaribu kuwapotosha,kuwa mafanikio ni mpaka kutangaza BBC,kwa hiyo ukishafika BBC ndo basi na sisi kama watanzania tutakuwa tumefaidika nini kwa kwenda kwake huko BBC?Said Kubenea angeenda kufanya kazi daily mail,angeyafanya aliyoyafanya kwa nchi yake mpaka sasa.Hebu tufikirie ni jinsi gani tutaiendeleza nchi yetu na si kwenda kuendeleza nchi za wenzetu.UZALENDO LINA MAANA PANA.