Masoud Kipanya hii haiko sawa

Masoud Kipanya hii haiko sawa

Poleni sana ,masoud kawakilisha hisia za walengwa kwa maana wanaweza waakapeana maneno ya kiungwana lakini ndani ya nafsi yao vimejaa hayo aliyo chora masudi!
 
Natumai wote ni wazima.

Binafsi sijapendezwa na katuni iliyochorwa jana katika gazeti la Mwananchi kama ambavyo huwa inachorwa na Bwana Masoud.

Ki ukweli ukiiangalia kwa makini utagundua ina "Matusi" na waliochorwa katika katuni hiyo ni viongozi wa Taifa hili. Nadhani Mhariri wa gazeti la Mwananchi ni vyema wakaweka mipaka katika katuni zao. Ili kulinda heshima ya gazeti lao.

Mandla.
Hata mie cjapendezwa na wewe.Kuna mambo ya maana (Macro) unaacha kuyakemea unaandamana for just Micro issues.Mbona hujakemea ukosefu wa huduma za matibabu na shule kama vile upungufu wa madawati,matumizi mabaya ,wizi wa pesa za umma nk.Huo uongozi wao unaoabudu umetusaidia nini basi nenda kachore wewe au omba ajira ya uhariri kwenye gazeti hilo ili achore utakacho.
 
... If an artist does something and the public doesn't react, then he's doing something wrong ...

-Michael Moore
 

Attachments

  • 1436887154363.jpg
    1436887154363.jpg
    20.1 KB · Views: 309
Back
Top Bottom