Masoud Kipanya hii haiko sawa

Masoud Kipanya hii haiko sawa

Kijana get life! Feedom of speech and expression.Tatizo kubwa mnataka kila mtu afanyacho kiwafurahishe watawala. Sababu kubwa ni kwamba maisha yenu yanategemea uwepo wao. smell the coffee my friend. Enzi za kuwatukuza watawala zimepita. They should serve us and not otherwise.

There you are!!!! Indeed you are the Great Thinker. I believe kwamba uandishi wa kikasuku hauhitajiki katika jamii
 
kikubwa tumekuelewa kumbe wewe masudi mwenyewe umekuja kivingine.....kwa hii avata... kikubwa hapa tafsiri kilamtu kivyake lakin kiujumla wake na maono ya wengi ndio unaweza sema mchoraji si sawa..kama vile anavomkwaza babaye akiwa amevaa nguo nusu uchi wakati binti mwenye kuvaa hivo hivo kwa baba mwningne sio tatizo....., kwa mtazamo wako hata kauli zako pia inaonyesha wazi wewe ungechoora kabisa hawana nguo...!!

busara kama chupi...iwe mpya au chakavu sio lazima ivaliwa nje ya nguo nyingne.....


Kwendeni Zenu Huko. Mbona Katuni Zake Zingine Huwa Hamzisifii? Hii Katuni Ya Masoud Kipanya Na Picha Za UTUPU Ambazo Kila Siku Tunaziona Tena Katika Magazeti Yenu Pendwa Ya Udaku Mbona Huwa Hamuyakemei Kiasi Hiki Na Tena Maudhui Yao Mengi Huwa Ni Ya KIMATUSI Kuanzia Picha Na Muda Mwingine Hata Maneno Huku Nyie Wenyewe ( Wewe Ukiwemo ) Na Haswa Watoto Wenu Hawa Wa Shuleni Ndiyo Wakiwa Wanunuzi Wakubwa Ipi Ni Hatari Katika Jamii? Mnajifanya Mnajua Masuala Ya Maadili Na Nidhamu Wakati Wengi Wenu Hamna Hata Theluthi Ya Maadili Mema Kuanzia Kwenu Na Katika Jamii Zenu Husika Zinazowazunguka. Halafu Ukome Kuniambia au Kunifanananisha Mimi Na Masoud Kipanya Na Kuna Siku Mtanifananisha Pia Hata Na Yesu Kristo Wa Nazareth!
 
Sasa wewe ulitaka awe kama wasanii wengine wa kitanzania ambao akili zao zinaishia mtaani tu!? Ukitaka kuwa msanii mzuri ni lazima uende mbali sana, usisahau KP naye ana hisia hivyo watu wakifanya ujinga ni lazima awaonyeshe ujinga wao!


Nimekupata mkuu kuwa ujinga wao ameuonyesha kwa kutumia ujinga wake, hiyo sare
 
Hivi walikuwa wanagombana hivyo kwa kazi za kupewa tuu? Jee kama kazi zao zingekuwa zinaombwa na kufanyiwa vetting na chombo fulani hadi kupita sii ingekuwa balaa!
 
Kwendeni Zenu Huko. Mbona Katuni Zake Zingine Huwa Hamzisifii? Hii Katuni Ya Masoud Kipanya Na Picha Za UTUPU Ambazo Kila Siku Tunaziona Tena Katika Magazeti Yenu Pendwa Ya Udaku Mbona Huwa Hamuyakemei Kiasi Hiki Na Tena Maudhui Yao Mengi Huwa Ni Ya KIMATUSI Kuanzia Picha Na Muda Mwingine Hata Maneno Huku Nyie Wenyewe ( Wewe Ukiwemo ) Na Haswa Watoto Wenu Hawa Wa Shuleni Ndiyo Wakiwa Wanunuzi Wakubwa Ipi Ni Hatari Katika Jamii? Mnajifanya Mnajua Masuala Ya Maadili Na Nidhamu Wakati Wengi Wenu Hamna Hata Theluthi Ya Maadili Mema Kuanzia Kwenu Na Katika Jamii Zenu Husika Zinazowazunguka. Halafu Ukome Kuniambia au Kunifanananisha Mimi Na Masoud Kipanya Na Kuna Siku Mtanifananisha Pia Hata Na Yesu Kristo Wa Nazareth!

Umeamza vzr umemaliza kipimbi
 
attachment.php


Mbona mimi sijelewa.....?

Alikuwa amekwisha kutoka kutoa tangazo safari moja huanzisha ...... Kalewa
 
Mnazungumzia maadili when it suits your interests only and not he national good! !
 
Duh nime-scroll ili tu kuiona hiyo picha! Arrrrgh
 
Kijana get life! Feedom of speech and expression.Tatizo kubwa mnataka kila mtu afanyacho kiwafurahishe watawala. Sababu kubwa ni kwamba maisha yenu yanategemea uwepo wao. smell the coffee my friend. Enzi za kuwatukuza watawala zimepita. They should serve us and not otherwise.

Masanja umempa dogo ukweli wa mambo.
 
Kijana get life! Feedom of speech and expression.Tatizo kubwa mnataka kila mtu afanyacho kiwafurahishe watawala. Sababu kubwa ni kwamba maisha yenu yanategemea uwepo wao. smell the coffee my friend. Enzi za kuwatukuza watawala zimepita. They should serve us and not otherwise.

Thread closed........loh.....
 
Natumai wote ni wazima.

Binafsi sijapendezwa na katuni iliyochorwa jana katika gazeti la Mwananchi kama ambavyo huwa inachorwa na Bwana Masoud.

Ki ukweli ukiiangalia kwa makini utagundua ina "Matusi" na waliochorwa katika katuni hiyo ni viongozi wa Taifa hili. Nadhani Mhariri wa gazeti la Mwananchi ni vyema wakaweka mipaka katika katuni zao. Ili kulinda heshima ya gazeti lao.

Mandla.

Weka picha

iko wapi?

Mandla weka hiyo katuni.

Naona hata kwenye website yao haimo

Weka tujiridhishe

In ile ya ishindi wa magufuli?

Ile Membe na Lowasa wamebebwa na Mh. Magufuli?

Not everybdy has seen it.!

Freedom of expression!!!! Haina shida yoyote.

Duh nime-scroll ili tu kuiona hiyo picha! Arrrrgh

mbona mnajadili hewa hiyo katuni iko wapi?

sijaona tatizo ....

katuni yenyewe hii hapa?
 

Attachments

  • 1436871244516.jpg
    1436871244516.jpg
    55.4 KB · Views: 476
Last edited by a moderator:
Haya ni hii hapa....mjumbe hauwawi
 

Attachments

  • 1436871545755.jpg
    1436871545755.jpg
    56.1 KB · Views: 375
Back
Top Bottom