Kijana get life! Feedom of speech and expression.Tatizo kubwa mnataka kila mtu afanyacho kiwafurahishe watawala. Sababu kubwa ni kwamba maisha yenu yanategemea uwepo wao. smell the coffee my friend. Enzi za kuwatukuza watawala zimepita. They should serve us and not otherwise.
There you are!!!! Indeed you are the Great Thinker. I believe kwamba uandishi wa kikasuku hauhitajiki katika jamii