Masoud Kipanya hii haiko sawa

Masoud Kipanya hii haiko sawa

boti ikipinduka inazamisha wote waliopo ndani yake
 
Natumai wote ni wazima.

Binafsi sijapendezwa na katuni iliyochorwa jana katika gazeti la Mwananchi kama ambavyo huwa inachorwa na Bwana Masoud.

Ki ukweli ukiiangalia kwa makini utagundua ina "Matusi" na waliochorwa katika katuni hiyo ni viongozi wa Taifa hili. Nadhani Mhariri wa gazeti la Mwananchi ni vyema wakaweka mipaka katika katuni zao. Ili kulinda heshima ya gazeti lao.

Mandla.

iko wapi sasa unatoa povu wakat picha yenyew hamna.... Kama huwez kutuwekea ushahidi ulikuwa huna maana ya kuandika uozo hapa
 
Mtoa thread ni wale hata ukimwambia sura kama tofali analia mpaka kugoma kula hahahaaaaa. Hiyo katuni ndugu yangu
 
Kama hupendi usinujue gazeti, unaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na gazeti hilo kwa wallet yako.
 
Huu ni wakati wa ukweli na uwazi si mambo ya funika mwanaharamu apite hizo ni wakati huuuuuleee!!!...Wachora vibonzo choreni kila kitu watanzania waone maovu yao na matendo yao..😛eace:
 
iko wapi sasa unatoa povu wakat picha yenyew hamna.... Kama huwez kutuwekea ushahidi ulikuwa huna maana ya kuandika uozo hapa

Mbona imewekwa hapo juu!! Kuna mtu ana I'd ya Mcubic.

Mandla.
 
ImageUploadedByJamiiForums1436874143.045066.jpg


Hii je
 
Kwendeni Zenu Huko. Mbona Katuni Zake Zingine Huwa Hamzisifii? Hii Katuni Ya Masoud Kipanya Na Picha Za UTUPU Ambazo Kila Siku Tunaziona Tena Katika Magazeti Yenu Pendwa Ya Udaku Mbona Huwa Hamuyakemei Kiasi Hiki Na Tena Maudhui Yao Mengi Huwa Ni Ya KIMATUSI Kuanzia Picha Na Muda Mwingine Hata Maneno Huku Nyie Wenyewe ( Wewe Ukiwemo ) Na Haswa Watoto Wenu Hawa Wa Shuleni Ndiyo Wakiwa Wanunuzi Wakubwa Ipi Ni Hatari Katika Jamii? Mnajifanya Mnajua Masuala Ya Maadili Na Nidhamu Wakati Wengi Wenu Hamna Hata Theluthi Ya Maadili Mema Kuanzia Kwenu Na Katika Jamii Zenu Husika Zinazowazunguka. Halafu Ukome Kuniambia au Kunifanananisha Mimi Na Masoud Kipanya Na Kuna Siku Mtanifananisha Pia Hata Na Yesu Kristo Wa Nazareth!


kwa kuwa ni health professional....naelewa wazi Gentamycine ni dose ya nn...una haki ya kutoka povu...! pole sana getwell soon!!..ungefanana na masoud walau ingekuwa powa.....msimamo wangu uko pale pale....mchoro auko sawa...na jamii yangu pamoja na hii ya humu Jf kuna watu na viatu...
 
Masudi kipanya hii ya kidole cha kati haiko sawa, michoro yako daima ni ya busara anaeweza kutafisiri hata mtoto mdogo. Hapa ulikosea, binafsi sikuridhika!
Kila siku Kikwete anatukana humu JF mbona husemi?
leo kidole tu tena cha kati Lowasa kajigeuzia na membe vilevile mnaleta POVU
kuchora si kuandika kwa kubofya vifungo keybody
Alllaaaa
 
kwa kuwa ni health professional....naelewa wazi Gentamycine ni dose ya nn...una haki ya kutoka povu...! pole sana getwell soon!!..ungefanana na masoud walau ingekuwa powa.....msimamo wangu uko pale pale....mchoro auko sawa...na jamii yangu pamoja na hii ya humu Jf kuna watu na viatu...

Haya Wewe POPOMA Umeshapata Sasa KIKI Na UMAARUFU Kujibizana Na Mimi Humu Haya Nenda Sasa Ukatambe Huko Mtaani Kwenu Uswazi.
 
kawaida mwanadamu hudhihirisha alivyo kutokana na chuki ama furaha aliyonayo. Masudi amewakilisha kilichokuwa moyoni mwake muda mrefu kwani watanzania wengi huishi maisha tegemezi. kinyume na hivyo itakuwa kiburi na kulewa sifa. ama la sivyo basi anataka aliowachora wapate sababu ya kufidiwa na gazeti hilo!! Kwani mhariri hakuiona katuni hiyo kabla haijachapishwa gazetini? Nasubiri kusikia tamko la BASATA

Ha ha ha.. Hivi umeshawahi kusikia mtu akashtakiwa mahakamaani kwa kuchorwa na bila ya kuwa na jina hiyo picha yenyewe ya katuni..? Unless watumie ubabe hakuna kipengele chochote ambacho kinaweza kumtia mtu hatiani.. Na hata hao Basata wakisema lolote basi itakuwa ni mihemko yao tu ya kisiasa mkuu.. Na wala kp hajakosea kuleta ujumbe huu kwa njia ya katuni..

Inanikumbusha enzi ya Makamba alipokuwa mkuu wa mkoa.. Kuna jamaa alipelekwa mahakamani kwa kumtukana Makamba na tusi lenyewe eti alimuambia makamba hana busara..! Mihemko tu ya kijnga na kibabe..
 
Back
Top Bottom