WAFANYE KAZI GANI SASA HAPO-KUNYANYASA WATUtuache jeshi la polisi wafanye kazi yao kwani kama wamemkamata wameona anameona kuwa anakesi ya kujibu kwa kuzingatia uweledi
teeehhh
Kaka wewe Noma... Kwa kweli you are a great thinker na ndio utamu wa lugha za vibonzo..Mi hapa siuoni uchochezi.. ninachokiona hapa ni kashfa tu kwamba serikali inatumia makalio kufikiri..
Aslimia kubwa ni wachumia tumbo na mandumila kuwiliWaandishi na wamiliki wa vyombo vya habari wangekuwa wanajitambua na wana umoja wasingenyanyasika hata kidogo.
Kwa kufungua mwaka bila haya anarudi kwa mwaka jana ndo maana Mdee alisema afungwe breeki mie taasisi zote zifungwe breeki
Watajitambuaje wkt wanategemea matangazo ya serikali kujiendesha?Waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari wangekuwa wanajitambua na wana umoja wasingenyanyasika hata kidogo.
This is rotten country
Hebu tupatie tafsiri ya katuni hiyo na uchochezi bwana mkubwa!Kama ni kweli, uchochezi hapo ni yeye kukamatwa na si vinginevyo!
wewe ndio policeWewe mtoa mada ndio mchonganishi
Mkuu silipagi kodi wasije wakanichunguza. Usimwambie mtu lakini kama naizidi hela serikali.Nyerere aliwakataa vijana wa aina yako..
Hebu tupatie tafsiri ya katuni hiyo na uchochezi bwana mkubwa!
Kule yule ambaye yupo Ujerumani Gado sijui ndiyo jina lake nae akamatwe...