Masomo ya Arts ni muhimu nchini

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
18,038
45,611
Viongozi wote waliofanya vizuri ni waliosoma Arts katika Level kubwa za Urais.

Kitendo Cha Mtu kuwa Rais na hajui kingereza madhara yake ni kujifungia ndani na kushindwa kuinganisha nchi na mataifa ya nje.

Tuwekeze Sana katika haya masomo ili tuondoe tatizo la watu kukosa lugha ya mazungumzo maana lugha ni Sehemu ya maendeleo that all.

Mama samiah hakikisha lugha ya kingereza inapewa umuhimu mkubwa Sana maana hata Graduate wengi kichwani hamna kitu kwa sababu wanakalili hawaelewi hata walisoma Nini chuoni achilia mbali kuongea kingereza, wamebaki kujificha katika kichaka cha uzalendo uchwara. Huku fursa zikitupita pembeni.
 
China hawatumii ngeli.
Ufaransa hawatumii ngeli.
Korea hawatumii ngeli.
Urusi hawatumii ngeli.
Ebu angalia mataifa hayo yalivyo tupita mbaaaali kwa maendeleo na uchumi.
 
China hawatumii ngeli.
Ufaransa hawatumii ngeli.
Korea hawatumii ngeli.
Urusi hawatumii ngeli.
Ebu angalia mataifa hayo yalivyo tupita mbaaaali kwa maendeleo na uchumi.
Ndo hoja zenu hizo Ambazo mmekalili badala muhakikishe watu wanajua kingereza na muwawekee miondombinu Bora ili waende nje kutafuta riziki mmekaa kukalili.
 
China hawatumii ngeli.
Ufaransa hawatumii ngeli.
Korea hawatumii ngeli.
Urusi hawatumii ngeli.
Ebu angalia mataifa hayo yalivyo tupita mbaaaali kwa maendeleo na uchumi.
Unajifananisha na mataifa Makubwa wakati leo hii ili ufanye Biashara na wafaransa unabidi kujua kingereza sijui unawaza nn.
 
Ndo hoja zenu hizo Ambazo mmekalili badala muhakikishe watu wanajua kingereza na muwawekee miondombinu Bora ili waende nje kutafuta riziki mmekaa kukalili.
Hoja zetu na nani kwani mkuu..☹️
Mwanzo umekuja na hoja ya kinhereza na nikakujibu hapo juu, saizi naona umesha poteza hoja unakuja na malalamiko ya mfumo mbovu..🤣
 
Hoja zetu na nani kwani mkuu..☹️
Mwanzo umekuja na hoja ya kinhereza na nikakujibu hapo juu, saizi naona umesha poteza hoja unakuja na malalamiko ya mfumo mbovu..🤣
Sasa Mtu mpambanaji mwenye nguvu na ujuzi labda wa Kilimo lakini hajui kingereza hata kidogo Unamshauri Nini , maana hapa Tz fursa hamna na naona ni Bora watz tuanze kutoka nje kwenda kutafta mkate.
 
Mataifa yanayotamba na lugha zao ni Yale yaliyoendelea na bidhaa zao wanaandika kwa lugha yao. Wewe utambe na kiswahili chako una nini? Basi zalisha bidhaa kwa wingi ila zenye tija na uandike kwa kiswahili. Utaweza?
 
Back
Top Bottom